africa

  1. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Hakuna bara lenye uhuru kama Afrika

    Africa kiukweli kuna Uhuru sana wa kufanya shughuli nyingi za kujipatia rizki ,ukilinganisha na mabara ya ulaya na Asia ,mfano hapa bongo ukitaka kufanya biashara yoyote unafanya hakuna vipingamizi vingi ,yaan ,hakuna ufuatiliaji sana. Mfano kuna jamaa yangu ni gold prospectus hana leseni...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Wimbi la Wamerekani weusi wanahamia Afrika

    Kuna wimbi kubwa sana la Wamerekani weusi wanahamia Africa na Tanzania lakini uhamiaji wanakuwa na wasiwasi. Mawazo yangu badala ya kuwanyima viza tufaute utaratibu mzuri wa win win situation. Wengine ni walimu, wajasiriamali tunaweza kuweka utaratibu wa wenyewe kuishi na bado kunufaisha...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Africa kuwa koloni la Wachina, nani alaumiwe?

    Ongezeko la wachina katika Afrika linatokana na kwamba wanatupenda sana, na wanataka kutuendeleza? Bila shaka kila mtu anajua wachina wanawachukia sana Waafrika. Kwa nini wanavamia kwa bidii sana bara la Africa? Magufuli aliona wanachokiona wachina ambacho watu wa kawaida hawakioni...
  4. Teargas

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Top 25 Banks in Africa 2021. Kenya is the only country from East Africa

    The list of top 25 Banks in Africa have just been released and East Africa is only represented by Kenya. Without Kenya, East African region would not appear in most rankings in Africa. The first bank from East Africa to appear was KCB at number 20 with a market cap of $1,317M, the second bank is...
  5. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

    Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz. Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha...
  6. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Watanzania kabla ya kuanza mradi wa Bandari ya Bagamoyo tafuteni Articles za 'Lesson from Sri Lanka Hambantota Port'

    Watanzania kabla ya kuanza huo mradi wa Bandari ya Bagamoyo naomba tafuteni Articles za LESSON FROM SRI LANKA Hambantota port. Kama hizo article umezipata please tunaomba uzishare ndani ya huu uzi. Wabongo mnataka mjidai mnawazidi akili wa Sri Lanka ninyi. Tunataka siku mkianza kulia tulie...
  7. Tz boy 4tino

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania “the best country foreign investment in East Africa .

    Tanzania leads East Africa in FDI . East Africa, Foreign Direct Investment in 2020. Tanzania 1.1 Billion $ Uganda 823 Million $ Kenya 717 Million $ Rwanda 135 Million. $ Source : The United Nations Conference on Trade and Development (UNCTDA).
  8. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Huenda Tanzania ndiyo nchi yenye aina nyingi ya watu katika Afrika

    Tanzania kuna wabantu ambao ndiyo wengi. Kuna wa Nilotics, wamasai na wajaluo. Kuna wa San kama wabushmen, hawa wasandawe na wahadzabe. Hawa ndiyo wenye nchi yao. Kuna wakush kama wa Iraq (wambulu) nasikia na wanyaturu na wasambaa nao ni wakush. Nchi zingine kama Malawi, DRC, au Zambia ni...
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mbowe na Lissu wahudhuria Mkutano wa vyama vya Kidemokrasia ukanda wa Afrika Mashariki Jijini Nairobi

    Pichani ni Mhe. Tundu Lissu akisalimiana na Mhe. Musalia Mudavadi wa Chama cha Amani National Movement cha nchini Kenya , walipokutana kwenye Mkutano huo Picha ya Chini ni Mwamba Mwenyewe Mh Freeman Mbowe akitoa mada kwenye Mkutano huo Muhimu wenye lengo la kukuza Demokrasia kwenye nchi za...
  10. Kafrican

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Covid-19 Africa: Takwimu za pamoja za mataifa yote yanavyoendelea kufikia sasa

    Hizi ni Takwimu za bara Africa kufikia jana/leo Source: https://www.worldometers.info/coronavirus/ Nimejaribu ku highlight nchi za Mashariki mwa Africa Hapa ni ranking ya cumulative cases za ujumla, Tangu corona ianze Hapa ni Active cases, Yani ukiondoa wale waliopona, ni wangapi ndo...
  11. CCM Music

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, tufuate utaratibu huu; jiji la Dar es Salaam litakuwa safi kila siku

    Nasema irudiwe na irudiwe tena na tena. Huyu mtalaam lazima atakuwa mwanaCCM kindakindaki maana haya ndo mawazo chanya ya wana CCM. Twende pamoja. CCM CCM CCM nimewaita mara tatu. Mpeni usajili huyu mwamba tena jezi namba 9 striker kabisa tumalize mechi zetu mapemaaaaa. ========= USAFI...
  12. BAK

    JamiiForums Tanzania Fare thee well Mdaala Kenneth Kaunda, you stood tall and did Africa proud

    Fare thee well Mdaala KK, you stood tall and did Africa proud SATURDAY JUNE 19 2021 Zimbabwe's ex-president Robert Mugabe and Zambia's Kenneth Kaunda in Lusaka on August 16, 2007. PHOTO | FILE | AFP By JENERALI ULIMWENGU More by this Author When a little, pint-sized politician called...
  13. M

    JamiiForums Tanzania The President who died older in Africa

    We Africans are blessed with longevity, you just have to know, which natural herbs to take. We drink, we eat and bath with natural herbs that keep us going. We may not be doctors that treat people in hospitals but we know the right herbs to keep us strong. Nelson Golihlahla Mandela died when he...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Picha ya wachezaji wakubwa huko south africa wanaoomba kujiunga yanga sc

    Kitendo cha yanga sc kuwepo kwenye top 100 ya teams bora afrika ikishika nafasi ya 74 nyuma kidogo ya namungo iliyo namba 60 kimeipa umaarufu mkubwa huko south africa huku wadau wakisema ni kitendo kinachopaswa kujivunia haswa ukifikiria bara hili lina maelfu ya teams Sasa unaambiwa wachezaji...
  15. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo

    Habari za wakati huu wakuu. Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu. Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki. Mi naomba mnifafanulie...
  16. Slowly

    JamiiForums Tanzania Video : Michael Jackson wa Afrika

    Tukutane sheli
  17. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Equity Bank is one of the most digitalized banks not just in Africa but in the whole world.

    Hii benki imejikita kabisa katika mambo ya teknolojia. Transactions zao nyingi saa hii zinafanyiwa nje ya majumba ya benki ( nje ya banking halls). Wanafanya transactions nyingi kutumia mobile apps na other digital technologies. Yaani ni benki chache sana duniani zimeweza kudigitalize kiasi cha...
  18. Tony254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania JKIA handled the highest cargo volumes in Africa in 2020

    Wenye wivu wajinyonge. JKIA handled highest cargo volumes in Africa in 2020 - report Overall passenger numbers are expected to reach 2.4 billion in 2021 In Summary The Kenyan airport handled more than 330,000 tonnes International cargo revenues are expected to reach $152 billion by VICTOR...
  19. N

    JamiiForums Tanzania Duh, kipindi cha michezo east africa radio ni vurugu tupu

    nakisikiliza hapa ni kero aisee haijulikani nani muongozaji nani mchambuzi yaani wanapiga kelele hakuna anayetaka kumsikiliza mwenzake..utasikia Abisai sikiza ngooja ngojaaaa...hapana nisikize kwanza ,huku mweingine naye anaendelea kuongea ya kwake vuluvuluuuuuuuuuu
  20. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania A tale of Africa! A true love

    A Tale of Africa ---------------------------- To the Himba of Namibia in Southern Africa, the date of birth of a child is fixed, not at the time of its arrival in the world, nor in its design, but much earlier: since the day the child is thought in His Mother's mind.⠀ ⠀ When a woman decides...
Back
Top Bottom