Abdulrazak Gurnah (born 20 December 1948) is a Tanzanian novelist, who writes in English and is based in the United Kingdom. The most famous of his novels are Paradise (1994), which was shortlisted for both the Booker and the Whitbread Prize, Desertion (2005), and By the Sea (2001), which was longlisted for the Booker and shortlisted for the Los Angeles Times Book Award. He was awarded the Nobel Prize in 2021 "for his uncompromising and compassionate penetration of the effects of colonialism and the fate of the refugee in the gulf between cultures and continents."
Mwandishi ambaye ana asili ya Visiwani Zanzibar, Abdulrazak Gurnah ametajwa na Taasisi ya Reputation Poll International, katika orodha ya mwaka 2023 ya Waafrika 100 wanaoheshimika zaidi.
Orodha hiyo ina watu binafsi kutoka sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na Utawala, haki za Binadamu, Elimu...
In a country divided over identity and language, literature can be tricky
By Elsie Eyakuze, an independent consultant based in Tanzania.
OCTOBER 30, 2021, 7:00 AM
On the evening of Oct. 7, I was minding my own business at home in a suburb of Dar es Salaam, Tanzania, when a message pinged in...
Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata...
Wengi wetu ndio kwanza tumefahamu kuwa mshindi wa nishani ya Nobel wa mwaka huu kwa upande wa fasihi ni Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar Abdulraza Gurnah. Ndio kwa mara ya kwanza tumeviona vitabu vyake mitandaoni, vilivyompatia nishani yenye heshima na yenye kuambatana na pesa nyingi takriban...
Ni mwanafasihi Abdulrazak Gurnah
Source: Al jazeera
Mungu ni mwema wakati wote
=====
Mwandishi kutoka Tanzania, Abdulrazak Gurnah ametangazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel 2021 kwa upande wa Fasihi (Literature)
Gurnah ambaye anaishi England alizaliwa Zanzibar na ni Profesa wa Chuo Kikuu cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.