abdulrazak gurnah

Abdulrazak Gurnah (born 20 December 1948) is a Tanzanian novelist, who writes in English and is based in the United Kingdom. The most famous of his novels are Paradise (1994), which was shortlisted for both the Booker and the Whitbread Prize, Desertion (2005), and By the Sea (2001), which was longlisted for the Booker and shortlisted for the Los Angeles Times Book Award. He was awarded the Nobel Prize in 2021 "for his uncompromising and compassionate penetration of the effects of colonialism and the fate of the refugee in the gulf between cultures and continents."

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Mwandishi mwenye asili ya Tanzania atajwa kati ya Waafrika 100 Wanaoheshimika zaidi 2023

    Mwandishi ambaye ana asili ya Visiwani Zanzibar, Abdulrazak Gurnah ametajwa na Taasisi ya Reputation Poll International, katika orodha ya mwaka 2023 ya Waafrika 100 wanaoheshimika zaidi. Orodha hiyo ina watu binafsi kutoka sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na Utawala, haki za Binadamu, Elimu...
  2. R

    Tanzanians Are Very Proud of the Nobel Winner We Haven’t Read

    In a country divided over identity and language, literature can be tricky By Elsie Eyakuze, an independent consultant based in Tanzania. OCTOBER 30, 2021, 7:00 AM On the evening of Oct. 7, I was minding my own business at home in a suburb of Dar es Salaam, Tanzania, when a message pinged in...
  3. Nyankurungu2020

    Ni aibu kwa taifa letu kumuona Prof Abdulrazak Gurnah kama shujaa wa taifa letu, wakati huko nyuma hajawahi kutambuliwa kwa kazi alizofanya

    Ni kweli huyu Prof ni mtu mwenye asili ya Tanzania visiwani na amekuwa akifundisha University of Kent tangu mwaka 1982. Amendika vitabu vingi tu lakini sijawahi kusikia serikali yetu ya Tanzania ikijisifu kuwa kuna mtanzania anafanya kazi nzuri za fasihi huko Uingereza. Sijawahi kusikia hata...
  4. P

    Abdulrazak Gurnah na imani hasi tuliyonayo juu ya uraia pacha

    Wengi wetu ndio kwanza tumefahamu kuwa mshindi wa nishani ya Nobel wa mwaka huu kwa upande wa fasihi ni Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar Abdulraza Gurnah. Ndio kwa mara ya kwanza tumeviona vitabu vyake mitandaoni, vilivyompatia nishani yenye heshima na yenye kuambatana na pesa nyingi takriban...
  5. J

    Mtanzania Abdulrazak Gurnah ashinda Tuzo ya Nobel katika Fasihi

    Ni mwanafasihi Abdulrazak Gurnah Source: Al jazeera Mungu ni mwema wakati wote ===== Mwandishi kutoka Tanzania, Abdulrazak Gurnah ametangazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel 2021 kwa upande wa Fasihi (Literature) Gurnah ambaye anaishi England alizaliwa Zanzibar na ni Profesa wa Chuo Kikuu cha...
Back
Top Bottom