Search results

  1. S

    SIACHI HELA NAE KAFUNGA

  2. S

    Naomba kujuzwa ubora wa TV za Goodvision kutoka China

    Jamani naomba kuuliza ubora wa hizi TV za goodvision made in China ukilinganisha na goodvision made in Korea DeepPond leta majibu
  3. S

    Mikopo ya "Kausha damu" yawakaba koo walimu Mbozi

    Baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Mbozi mkoani Songwe, wameomba uwepo wa majukwaa ya mara kwa mara yatakayolenga kutoa elimu ya utambuzi wa Taasisi sahihi za kifedha zinazotoa huduma za mikopo, ili waweze kujiepusha na Taasisi ambazo zimekuwa zikiwakopesha mikopo yenye...
  4. S

    MBEYA HAKUFA MTU

    #HABARI Waziri wa Maliasili Mohamed Mchengerwa na RC Mbeya wamefika Kijiji cha Mwanavala wilayani Mbarali kutokana na agizo la Waziri Mkuu la kuwataka kufika ili kuona hali ya ugomvi uliotokea baina ya wananchi na Askari wa TANAPA na kubaini hakuna vifo wala mifugo iliyoshikiliwa wala ng'ombe...
  5. S

    Nwanza: Mwanafunzi wa chuo cha udaktari ajiteka apate hela

    Kennedy Nyangige mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha udaktari Bugando anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujiteka na kisha kutuma meseji kwa wazazi, ndugu na viongozi wake wa chuo akidai ametekwa na inatakiwa milioni 3.5 ili aachiwe. RPC Mwanza Wilbroad...
  6. S

    Ukiweza elewa hii picha uwezi bishana na mashabiki Simba

    Kwa muda mrefu sasa nimekua nikifanya tafiti juu ya uelewa wa mpira wa mashabiki wa simba, na mambo niliyagundua ni yafuatayo 1) Wengi wao mpira wameanza fatilia 2019 2) Wengi wao dish zimeyumba 3)Wengi wao much know 4) Wenye akili wanajitoa ufahamu 5) Wengi wanabishia uzoefu 6) Watu...
  7. S

    Dawa aina ya Amoxicillin, Zinki na ORS ni bure kwa watoto chini ya miaka 5

    Picha: Ummy Mwalimu Serikali imesema dawa za kidonge myeyuko cha Amoxicillin, Zinki na ORS kwa ajili ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano, haziuzwi, zinatolewa bure kwa wananchi, kwa sababu zinanunuliwa na serikali kwa kushirikiana na wadau. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Mhe.Ummy...
  8. S

    Waliopandikizwa uboho (bone marrow transplant) wafikia 11

    Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo ametoa hotuba kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Afya kwa Mwaka 2023/2024 ambapo amesema katika kipindi cha July 2022 hadi March 2023 Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila ilifanikiwa kutoa huduma ya upandikizaji wa uboho (bone marrow...
Back
Top Bottom