sunguramjinga
Senior Member
- May 11, 2023
- 175
- 227
Kennedy Nyangige mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha udaktari Bugando anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujiteka na kisha kutuma meseji kwa wazazi, ndugu na viongozi wake wa chuo akidai ametekwa na inatakiwa milioni 3.5 ili aachiwe.
RPC Mwanza Wilbroad Mutafungwa amesema baada ya kupokea taarifa hizo kutoka kwa Daktari wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Matiko Sirari, jeshi hilo lilianza kufanya uchunguzi wa tukio hilo na kubaini kijana alijiteka mwenyewe ili apate hiyo hela.
#EastAfricaTV
RPC Mwanza Wilbroad Mutafungwa amesema baada ya kupokea taarifa hizo kutoka kwa Daktari wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Matiko Sirari, jeshi hilo lilianza kufanya uchunguzi wa tukio hilo na kubaini kijana alijiteka mwenyewe ili apate hiyo hela.
#EastAfricaTV