Kipindi huyu Mwalimu anapewa vibali na Katibu Mkuu ofisi ya Rais ofisi yako haikuweka Tangazo kuupa umma taarifa.
Hili tangazo umelitoa kwa msukumo wa kisiasa ukiamini unawafurahisha wakubwa zako, inasemekana Mwalimu huyu ni miongoni mwa waliokataa uteuzi wa Rais.
Hapa busara haijatumika...
*UNATAKA KUWA MHANDISI?*
Kama umemaliza *kidato cha sita* katika masomo ya *PCM* au *Diploma (NTA Level 6)* na unataka kuwa mhandisi, Basi jibu ni moja tu.
Karibu na ujiunge na chuo cha St. Joseph ili *ufuliwe* katika fani mbalimbali za uhandisi ili kwenda na kasi ya uchumi wa viwanda...
Wakuu habari za humu ndani
Nina tatizo la device zangu kushindwa ku access emails za gmail, ninatumia mtandao wa TTCL ninatumia hotspot tethering kutoka kwenye Tablet ya Lenovo. Website nyengine zote ninaweza kuzi access isipokuwa gmail, na bittorrent haidownload files zangu.
Nikiweka line ya...
Habari za shughuli wana bodi. ni mwanafunzi wa chuo tajwa hapo juu. nahitaji chumba kwaajili ya kupanga. kiwe na kodi ya kati ya Tsh.50000-70000 kwa mwezi. kiwe self contained na maji yasiwe shida kupatikana. uwezo wangu naweza kulipia kwa awamu 2. miezi 6 afu namalizia. natanguliza shukrani.
Ni baada ya maadui kulipua bomu na vipande vyenye ncha kali kuruka hovyo vipande vivyo havkuweza haikuweza kuleta madhara baada ya kutua kwenye simu na kuitoboa bila kuleta madhara makubwa kwa raia huyo.
source.CNN
Nasubiria kuona response ya hii kitu kwenye hisa za samsung.
Tarehe ngapi uchaguzi unarudiwa?
Nini hasa kinaendelea huko?
Kama ni majadiliano ni ya pande zipi na zipi na kuna uelekeo gani hadi sasa?
Natamani kufahamu nini hasa kinaendelea Zanzibar.
Mwaka 2010 Rais J.Kikwete alipomaliza kula kiapo kama Rais wa nchi yetu pongezi zilizotolewa na Taasisi,Mashirika ya Serikali na mashirika binafsi pongezi zilizotolewa kwa njia ya matangazo ya Television na Radio ziligharimu zaidi ya millioni 450 huku pongezi zilizotolewa kwa njia ya magazeti...
Mwezi sept nyumbani tumenunua umeme awamu 2. Awamu ya kwanza tulinunua umeme wa 20,000. Makato yalikuwa jumla ya Tsh.9000 kwa maana ya service charge,REA,VAT, EWURA. gharama ya units ilikuwa ni tsh 11000.
Mwishoni mwa mwezi tukanunua umeme tena wa 20000 makato yakawa VAT,EWURA na REA. ukitoa...
Habarini sana wakuu kama kichwa kinavyojieleza.Nilihangaika kwa takribani wiki 2 nikitafuta touch screen ya replacement ya hii tablet ya HP SLATE 7 HD sikufanikiwa kuipata kwa maduka ya posta na kariakoo. item kwa bahati mbaya si yangu ni ya jamaa yangu aliniazima kwa bahati mbaya ikavunjika...
Wakubwa shikamoni wadogo mambo wapendwa.
Mara kadhaa nimepokea ujumbe kupitia simu ya kiganjani ukiwa na umesajiliwa na namba iliyo na jina "unatuachaje" hii ni hudua abayo sijawahi kuiomba lakini nashangaa nimekuwa nikipata ujumbe wake kwa muda wa takribani wiki mblli sasa. kimsingi namba hii...
hii nimewahi kusikia japo siamini hata sasa
naamini uwepo wa utabiri na mambo takawa
sawia na utabiri. Niliwahi kusikia wale
swala wa nyuma ya sarafu ya Tsh.100
huwakilisha tawala za chama tawala kwamba
chama tawala kitatawala kwa vipindi 4 mfululizo
Na nguvu na uwezo wa hizo tawala...
Wakuu kwa mfumo wa utendaji wa vyombo vya serikali ni complicated. mfano kesi ya hiki chuo.
hiki chuo hawatoi kozi za afya tu kuna kozi mbalimbali ambapo nina uhakika kwa kozi zisizo za afya
TCU itakuwa imeona hicho chuo kimekidhi vigezo shida ni hapo kwenye kozi za Afya ambazo kimsingi
ili chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.