Habari!
Nahitaji gari aina ya:
1. Runx, au
2. Allex, au
3. Spacio
Kwa budget tajwa hapo Juu. Namba kuanzia C na kupanda Juu.
Tuma picha WhatsApp tu: 0656142433
Wadau niaje?
Naomba kujua kwa wenye uzeofu na subwoofer, ipi ni brand nzuri, ina mdundo mzuri na inajitahidi kudumu.
Ukiweka na bei utakuwa umenisaidia sana!
Watu wa Mungu!
Mwenye kuuza Gypsum board ambazo ni reject (zinakuwa na dorari ndogo ndogo sana) naomba aje na offer yake.
WhatsApp 0656142433
Calls/Sms 0689629763
Watu wa Mungu habari!
Tangu mwaka 2008 nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu kati kati ya mgongo, nilihangaika sana kusaka tiba, ila mambo bado.
Tangu mwaka Jana nikaanza kuhusi maumivu ya mgongo yanasababisha menu kufa ganzi, kama wiki mbili hivi nikaenda Kairuki, wakanipiga x rays, nikaambiwa...
Watu wa Mungu habari!
Naomba kujua toka kwa mwenye uzoefu wa kutumia hii gari aina ya Honda Fit GE6.
Ina changamoto gani, ina ubora gani na bei yake hapa Tanzania, upatikanaji wa spare zake n.k
Natamani sana kumiliki hili gari!
Ahsante
Kuanzia leo Agosti 20, 2021 rasmi serikali imetangaza kuanza kukusanya kodi ya majengo kupitia ununuzi wa umeme kwa njia ya Luku.
Ni wazo jema lakini limegubikwa na utata, ni wakati sasa wa serikali kujitokeza hadharani na kutolea ufanunuzi na kujibu hoja hizi hapa chini:
1. Tozo ya majengo...
Habari wana board!
Namshukuru Mungu kwa uzima aliotukirimia, sifa, heshima na utukufu ni kwake Yeye Pekee!
Miaka 5 iliyopita nilianza kupata hamasa ya kujifunga mambo ya kuunda tovuti, hii ilichochewa na kuwepo kwa fursa nyingi sana ambazo mimi binafsi niliziona kwenye upate wa IT...
Habari wana board!
Huu ni uzi maalum wa kutaja tabia ambazo sio njema ambazo zipo miongoni mwa Jamii.
Lengo la kuzitaja ni pamoja na kuzikemea ili wenye nazo wazikane kabisa.
1. Kufokonyoa pua mbele ya Halaiki (Nose picking).
2. Kutopokea simu eti kisa unapigiwa na namba ngeni.
3. Unakuta...
Habari wakuu...
Nimekaa hapa najaribu kutafakari kwa kina sana, yapi hasa ni majukumu ya waziri wa ulinzi na JKT ukiachilia yake ambayo ni general kwa cheo cha waziri!??
Najua humu ndani kuna wajuvi wa mambo, na nitapata majibu mujarabu kabisa ya hoja yangu!
Nauliza hivi kwa sababu za msingi...
Habari waungwana!
Nimekuwa nikijiuliza maswali haya Juu ya hizi ndege za abiria, naomba mwenye uelewa anisaidie:
1. Mechanism gani inafanya ndege ku float angani!?
2. Wakati ndege ikiwa inajiandaa kutua, kwa nini wale wahudumu uimiza kuwa abiria wafungue vioo/madirisha!?
3. Kwenye uwanja wa...
Habari wajuvi wa mambo!?
Nimekuwa nikifuatilia sana kampeni za uchaguzi mwaka huu 2020, lakini kuna mambo kadha wa kadha yananitatiza kidogo, naomba kueleweshwa.
1. Wale watu wa usalama ambao huwa wanamlinda Rais sio watumishi wa Umma!?
2. Kama watumishi wa umma, inakuwaje wanavaa sare za...
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea. Tujuzane bei ya mahindi kwa kipimo cha debe.
Kwa mkoa wa Ruvuma, wilaya ya Namtumbo, bei ina range elfu 6 hadi elfu 7 mia 5.
Je, huko kwenu bei ipoje, ili tuwekeze kwenye fursa!
Karibuni!
Msaada waungwana,
Meno yangu ya Juu upande mmoja yanakufa nganzi mara kwa mara, pia nina continuously backbone pain.. sina hakika sana kama kuna mahusiano.
Shida yangu kwa anayejua tiba aisee.. tukianzia na haya meno.
Update
Wakuu... ila sio backbone wakati mwingine.. mara nyingi pia ni...
Habari!
Nauza Dell Desktop:
Processor: Duo
HDD: 320GB
RAM: 2GB
Bei: 230,000 Tshs.
Location: Kibaha, Picha ya Ndege
Mawasiliano: 0752647796
Imetumika miezi miwili tuu, ina movies, nyimbo na mazaga zaga mengine!
Karibuni sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,
Nina Sony home theatre, hivi karibu iligoma kuonesha any signals pale mbele kwenye kidude cha ku display.
Nikaipeleka kwa fundi, katika uchunguzi alisema kifaa ambacho nimeweka picha yake kimekufa, hivyo basi, msaada ninao ujitaji:
1. Je, naweza pata hicho kifaa...
Habari wakuu!!
Ni movie ya kitambo mno, na hata jina silikumbuki.
Ni ya vijana fulani ambao wazee wao walikuwa wanajeshi, ikatokea mission wazee wote wakatekwa.
Serikali ya nchi yao ikawa inafanya mchakato wa kwenda kuwaokoa kuwa mrefu mno, ikabidi hawa vijana waji organize waend kuwaokoa...
Habari wadau!
Hope mko poa kabisa, na kwa neema za Mungu tunatumai atatuvusha mwaka salama, kwa wale ambao ni wagonjwa na wenye shida mbalimbali, basi ni maombi yangu kwa Mungu wa Mbinguni akuponye na kukupatia wepesi kwa yale unayopitia.
Teknolojia inakuwa kwa kasi sana, na kila siku mambo...
Kwanza kabisa niwape pongezi VodaCom kwa kutuletea huduma ya MasterCard. Kwa kweli mmetukomboa.
Lakini mbali na yote, suala la usalama hamjalizingatia kabisa!
Ukiingia kwenye menu ya M PESA, chukulia tayari umesha create MasterCard yako, sasa ili kupata taarifa za card yako, baada ya kungia...
Wakuu, habari!
Nina simu tajwa hapo juu, ambayo nimenunua kama mwezi hivi umepita.
Shida kuu ni ku stuck/freeze mara kwa mara, zaidi sana nikiwa naandika sms.. na wakati mwingine kioo kinakuwa kama kina tetemeka.
Msaada kwa wajuvi..
UPDATE
Leo ( 19 December) nilienda duka la Samsung...
Habari wakuu!
Mwenye kujua kwa DSM wapi naweza pata simu aina ya Nokia Asha 202 anisaidie kunipa direction.
Naipenda sana hii simu, ni ya zamani kidogo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.