tozo za majengo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Z

    Malalamiko ya Tozo za miamala na kodi za majengo kupitia Luku yamepungua, safi sana

    Watanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu Hii imetokana na watanzania...
  2. N

    Wanaolalamikia tozo ya jengo nahisi hawana uelewa au sio wazalendo

    Mimi mara ya kwanza nilikua mpingaji mkubwa wa tozo ya jengo, nilipinga sana nikwa najiuliza kwanini tulipie kodi ya jengo hata ambao tumepanga. Lakini baada ya kujifikiria kwa kina nimeona huu ni upuuzi watanzania tumezoea kulalamika hovyo. Nimebadilika ninaunga mkono. Just imagine wabongo...
  3. Kaudunde Kautwange

    Maswali fikirishi Juu ya Tozo za Majengo kupitia mfumo wa kununua Luku

    Kuanzia leo Agosti 20, 2021 rasmi serikali imetangaza kuanza kukusanya kodi ya majengo kupitia ununuzi wa umeme kwa njia ya Luku. Ni wazo jema lakini limegubikwa na utata, ni wakati sasa wa serikali kujitokeza hadharani na kutolea ufanunuzi na kujibu hoja hizi hapa chini: 1. Tozo ya majengo...
Back
Top Bottom