Msaada wa tatizo la simu yangu Samsung A10s

Msaada wa tatizo la simu yangu Samsung A10s

Kaudunde Kautwange

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,695
Reaction score
1,771
Wakuu, habari!

Nina simu tajwa hapo juu, ambayo nimenunua kama mwezi hivi umepita.

Shida kuu ni ku stuck/freeze mara kwa mara, zaidi sana nikiwa naandika sms.. na wakati mwingine kioo kinakuwa kama kina tetemeka.

Msaada kwa wajuvi..

UPDATE

Leo ( 19 December) nilienda duka la Samsung, wameicheki, wamegundua tatizo ni Display, ila kwa sasa wameishiwa, zinakuja mwezi wa kwanz, hivyo wameniambia nirudi mwezi wa kwanza.

Na huduma ni bure kabisa, kwa kuwa bado ina warrant....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Irudishe ulikoinunua haraka
 
Ilifanya tamaa tu ya ukubwa wa betri 4000mah ungenunua a10 isiyo na s haya yote usingeyapata ila kiherehere chako japo ukaaji wa chaki a10 inakaa na chaji sana maana haina mambo mengi yakufanya cm itumie chaji sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unanichukulia kama unanijua sana.. aisee.. mipasho yako peleka facebook..

Hapa nimeomba ushauri na suluhisho.. hayo mengine hayaniusu.. eboo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, habari!

Nina simu tajwa hapo juu, ambayo nimenunua kama mwezi hivi umepita.

Shida kuu ni ku stuck/freeze mara kwa mara, zaidi sana nikiwa naandika sms.. na wakati mwingine kioo kinakuwa kama kina tetemeka.

Msaada kwa wajuvi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Du pole sn...na mm ya kwng ni kama yako na ina shida hizo hizo..inaelekea hizi samsung A10s zina tatizo hilo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi simu zina mattzo sana..hasa upande wa screen..fanya kuirudisha Samsung shop..waifanyie matengenezo..m niliiuza nikachukua A20s iko poa sana...
Wakuu, habari!

Nina simu tajwa hapo juu, ambayo nimenunua kama mwezi hivi umepita.

Shida kuu ni ku stuck/freeze mara kwa mara, zaidi sana nikiwa naandika sms.. na wakati mwingine kioo kinakuwa kama kina tetemeka.

Msaada kwa wajuvi..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu ila wakati mwingne usipendelee kununua simu ambayo ni mwendelezo wa iliyotoka awali au ambayo ilishachukua muda mrefu tangu itoke, mara nyingi huwa na kasoro.
Kwa ulivyoeleza hapa inaonekana tatizo ni either screen sensitivity au operating system inasumbua, siku nyingne ukitaka kununua simu ya Samsung hakikisha kwanza kioo chake ni SuperAmoled afu inatumia Exynos au Snapdragon na siyo ipsLcd na mediatek kama tecno[emoji38]
Ushauri wang, ebu ifanyie factory reset tuone, tatizo likiendelea rudisha dukani kwa kuwa bado ni mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haipo Ok kwakweli Ila kisera tunaitumia, yangu nimechukua 26 November, 2019 Warranty 1 year. Ikisumbua zaidi nairudisha maana kila baada ya muda ninaupdate na ninaona ikijireset. Pia proximity sensor ni tatizo.
Kwakuwa ofisi yangu ipo jengo moja na duka la walioniuzia, haina Shida changamoto zikizidi nawapelekea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28]walipo sema A10s ni mtoto wa kambo wa Tecno hamku sikia au ...At least Unge wai kuchukua A10 usinge pata izi shida kupenda .finger print kuna waponza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hizi simu zinatengenezwa kwa version tofauti? Kuna jamaa yangu yakwake ilitoka Omani..kwenye about phone pale imeandikwa TRI..United Arab Emirates..
 
Wakuu, habari!

Nina simu tajwa hapo juu, ambayo nimenunua kama mwezi hivi umepita.

Shida kuu ni ku stuck/freeze mara kwa mara, zaidi sana nikiwa naandika sms.. na wakati mwingine kioo kinakuwa kama kina tetemeka.

Msaada kwa wajuvi..

UPDATE

Leo ( 19 December) nilienda duka la Samsung, wameicheki, wamegundua tatizo ni Display, ila kwa sasa wameishiwa, zinakuja mwezi wa kwanz, hivyo wameniambia nirudi mwezi wa kwanza.

Na huduma ni bure kabisa, kwa kuwa bado ina warrant....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakuwa wamekuahidi kubadilisha bure bac subiria huo muda waliokuambia.Cna ujuzi na a10s ila a10 ni nzuri zaidi kuliko s

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom