Maswali fikirishi Juu ya ndege za abiria

Kaudunde Kautwange

JF-Expert Member
Nov 15, 2011
1,600
1,567
Habari waungwana!
Nimekuwa nikijiuliza maswali haya Juu ya hizi ndege za abiria, naomba mwenye uelewa anisaidie:

1. Mechanism gani inafanya ndege ku float angani!?

2. Wakati ndege ikiwa inajiandaa kutua, kwa nini wale wahudumu uimiza kuwa abiria wafungue vioo/madirisha!?

3. Kwenye uwanja wa ndege, kwa nini vitu kama perfume huwa wanazuia!? Achilia mbali hizi international flights, hata hizi local pia wanazuiya!

4. Kwa nini huwa inaamriwa kuwa simu zote zizimwe au ziwe kwenye flight mode??

5. Kwenye gari, ukiweka Jeki, tairi zikainuka ukivuta mafuta, yaani accelerator tairi zinazunguka, lakini kwenye ndege tairi zinaanza kuzunguka pale tu inapugusa njia yake, why yasianze kuzunguka ndege ingali Juu!???

Ahsante.. karibu wajuvi wa mambo!!

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Habari waungwana!
Nimekuwa nikijiuliza maswali haya Juu ya hizi ndege za abiria, naomba mwenye uelewa anisaidie:

1. Mechanism gani inafanya ndege ku float angani!?

2. Wakati ndege ikiwa inajiandaa kutua, kwa nini wale wahudumu uimiza kuwa abiria wafungue vioo/madirisha!?

3. Kwenye uwanja wa ndege, kwa nini vitu kama perfume huwa wanazuia!? Achilia mbali hizi international flights, hata hizi local pia wanazuiya!

4. Kwa nini huwa inaamriwa kuwa simu zote zizimwe au ziwe kwenye flight mode??

5. Kwenye gari, ukiweka Jeki, tairi zikainuka ukivuta mafuta, yaani accelerator tairi zinazunguka, lakini kwenye ndege tairi zinaanza kuzunguka pale tu inapugusa njia yake, why yasianze kuzunguka ndege ingali Juu!???

Ahsante.. karibu wajuvi wa mambo!!

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Namba 2
Usituchezee hata, lini uliona wakifungua vioo kwenye ndege?
Namba 3
Vimiminika vyote vinaweza kulipuka under certain conditions of temperature and pressure.
Namba 4
Mawimbi ya simu hua yanaingiliana na mawimbi wwanayotumia ma pilot kuongozea ndege
Namba 5
Zile tairi zinaanza kuzunguka Mara Ile miguu inapochomoza sema huwezi kuona kwasababu zinazunguka at very high speed.
Kama Kuna nilichosahau nikumbushe
 
Namba 2
Usituchezee hata, lini uliona wakifungua vioo kwenye ndege?
Namba 3
Vimiminika vyote vinaweza kulipuka under certain conditions of temperature and pressure.
Namba 4
Mawimbi ya simu hua yanaingiliana na mawimbi wwanayotumia ma pilot kuongozea ndege
Namba 5
Zile tairi zinaanza kuzunguka Mara Ile miguu inapochomoza sema huwezi kuona kwasababu zinazunguka at very high speed.
Kama Kuna nilichosahau nikumbushe
kaka hayo mengne n kwel ila hyo nmb tano umetudanganya
 
Matairi ya ndege hayana uhusiano na mfumo wa injini mkuu. Yenyewe yanaserereka tu kulingana na injini inachakataje hewa
Je wakati wa kuanza kuondoka unataka kutuambia hayana uhusiano na engine. ??Nikukumbushe tu kwamba ndege huwa na engine nyingine ya tatu kwa ajili ya kuanzia mwendo, kuwasha ac na taa. Ndio maana ukiingia kwenye ndege unakuta tayari ac inafanya kazi ilhali yale ma engine makubwa hayajawashwa. Sawa mpwa?
 
Je wakati wa kuanza kuondoka unataka kutuambia hayana uhusiano na engine. ??Nikukumbushe tu kwamba ndege huwa na engine nyingine ya tatu kwa ajili ya kuanzia mwendo, kuwasha ac na taa. Ndio maana ukiingia kwenye ndege unakuta tayari ac inafanya kazi ilhali yale ma engine makubwa hayajawashwa. Sawa mpwa?
Hivi gari ikiwa imezimwa, huwezi kuwasha redio au taa kwasababu haina "engine" ya pili ya kufanya kazi hizo eeh? 😂😂😂
 
Je wakati wa kuanza kuondoka unataka kutuambia hayana uhusiano na engine. ??Nikukumbushe tu kwamba ndege huwa na engine nyingine ya tatu kwa ajili ya kuanzia mwendo, kuwasha ac na taa. Ndio maana ukiingia kwenye ndege unakuta tayari ac inafanya kazi ilhali yale ma engine makubwa hayajawashwa. Sawa mpwa?
Ndio hayana uhusiano na injini.
Kama ni pangaboy, basi zile pangaboy zinametengenezwa kwa mfumo ambao zikizunguka kwa kasi zinafanya kuvuta hewa iliyo mbele na kusukuma hewa ya nyuma kitendo ambacho lazima ndege isonge mbele tu japo kupaa kwa ndege sijui nini huwa kinatendeka.
Hata hizi ndege kubwa kama Boeing injini zao huvuta hewa ya mbele kwa kasi ndio maana kitu chepesi kikiwa karibu na hizi injini huvutwa kuelekea kwenye injini kwa nguvu. Tairi ni kwa ajili ya muongozo wa ndege ikiwa ardhini tu pamoja na kuipa ndege balance,,,, ikishapaa hata kwa mita moja tairi zinakuwa hazina kazi tena kwa wakati huo
 
Namba 2
Usituchezee hata, lini uliona wakifungua vioo kwenye ndege?
Namba 3
Vimiminika vyote vinaweza kulipuka under certain conditions of temperature and pressure.
Namba 4
Mawimbi ya simu hua yanaingiliana na mawimbi wwanayotumia ma pilot kuongozea ndege
Namba 5
Zile tairi zinaanza kuzunguka Mara Ile miguu inapochomoza sema huwezi kuona kwasababu zinazunguka at very high speed.
Kama Kuna nilichosahau nikumbushe
2. Ndani ya ndege kwenye madirisha kwa ndani kuna kitu kama panzia.. chenyewe ni cha plastic, una pull from above. Nahisi umenielewa sasa.

5. Mkuu, matairi yanaanza kuzunguka pindi tuu yanapogusa ile barabara yake. Na ndege inapo paa, yanaacha kuzunguka.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Namba 2
Usituchezee hata, lini uliona wakifungua vioo kwenye ndege?
Namba 3
Vimiminika vyote vinaweza kulipuka under certain conditions of temperature and pressure.
Namba 4
Mawimbi ya simu hua yanaingiliana na mawimbi wwanayotumia ma pilot kuongozea ndege
Namba 5
Zile tairi zinaanza kuzunguka Mara Ile miguu inapochomoza sema huwezi kuona kwasababu zinazunguka at very high speed.
Kama Kuna nilichosahau nikumbushe
Tairi huzunguka tu pale zinapogusa ardhi na sio kwamba zinaanza kuzunguka zinapochomoka sehemu zake za kuhifadhia
 
Kwanza matairi ya ndege hayazunguk yakiwa juu sabab hayana mchango wwte pind ndege iwapo juu! Ila tu yanategemea nguvu kutoka kwenye injin ya ndege pind ndege isukumwapo mbele kwa kasi hapo ndo na yenyewe yanatembea ila mind u kitendo hcho n pale ndege inatembea chini tu na sio juu!!!
Jinsi injini (jet engine)inavyofnya kazi?
Kwanza ijini hutumia mfumo wa kuchoma mafuta aina ya jet-A1 pamoja na hewa ya kawaida ambayo hii hewa ukusanywa kwa nguvu na feni(jet propeller) ikikutanishwa na kuchomwa pamoja na mafuta kwa pamoja ndan ya chamber moja(combustor) au combustion chamber.. ! Huu mfumo hubadil mafuta na hewa kwenda kwny kinetic energy ambapo hutoa msukumo mkubwa kwenye turbine ambao tunauita thrust mind u hii nguvu ilotengenezwa husukuma ndege mbele kwa kasi na nguvu kubwa
 
Je wakati wa kuanza kuondoka unataka kutuambia hayana uhusiano na engine. ??Nikukumbushe tu kwamba ndege huwa na engine nyingine ya tatu kwa ajili ya kuanzia mwendo, kuwasha ac na taa. Ndio maana ukiingia kwenye ndege unakuta tayari ac inafanya kazi ilhali yale ma engine makubwa hayajawashwa. Sawa mpwa?
Mkuu Matairi ya ndege hayazungushwi na chochote. Ni kama gari ikiwa kwenye Neutral. Ndege hutembea kutokana thrust inayozalishwa kwenye engine zilizoko kwenye mbawa za ndege.

Zile tyres zipo free, only brakes can be applied to it nothing else.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, ebu fafanua kidogo. Hayana mahusiano kivipi!? Mara hayana mahusiano, mara yanaserereka kulingana na injini invyochakata hewa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hayana uhusiano nikiwa na maana ya kwamba hayazungushwi na injini.
Mfano rahisi ni uchukue injini ya ndege alafu uifunge juu ya keria ya gari kisha uiwashe bila kuwasha gari.
Matokeo yake gari itatembea kama kawaida kwa kutumia tairi za gari japo hujawasha injini yenye connection na tairi za gari/yaani energy ya kusongesha gari hilo inakuwa inabishana na hewa tofauti na injini ya gari ambayo huzungusha matairi kwa kuyaforce kwenda mbele au nyuma
 
Kwanza matairi ya ndege hayazunguk yakiwa juu sabab hayana mchango wwte pind ndege iwapo juu! Ila tu yanategemea nguvu kutoka kwenye injin ya ndege pind ndege isukumwapo mbele kwa kasi hapo ndo na yenyewe yanatembea ila mind u kitendo hcho n pale ndege inatembea chini tu na sio juu!!!
Jinsi injini (jet engine)inavyofnya kazi?
Kwanza ijini hutumia mfumo wa kuchoma mafuta aina ya jet-A1 pamoja na hewa ya kawaida ambayo hii hewa ukusanywa kwa nguvu na feni(jet propeller) ikikutanishwa na kuchomwa pamoja na mafuta kwa pamoja ndan ya chamber moja(combustor) au combustion chamber.. ! Huu mfumo hubadil mafuta na hewa kwenda kwny kinetic energy ambapo hutoa msukumo mkubwa kwenye turbine ambao tunauita thrust mind u hii nguvu ilotengenezwa husukuma ndege mbele kwa kasi na nguvu kubwa
Umeeleweka mkuu.
 
Habari waungwana!
Nimekuwa nikijiuliza maswali haya Juu ya hizi ndege za abiria, naomba mwenye uelewa anisaidie:

1. Mechanism gani inafanya ndege ku float angani!?
Ina maana ndege za mizigo unajua kitu gani kinafanya zi-flot angani, sivyo?

Na pia hogera kwa kupanda ndege.
 
Back
Top Bottom