Ilikua mwaka flan bana, nikiwa niko tu jobless nikapokea call kutoka kwa recruitment agent kuwa kavutiwa na cv yangu hivyo anataka kusikia mawili matatu kutoka kwangu kabla ya kutuma cv yangu kwa client wao.well tulifanya nae fresh akanielewa then akaituma kwa client wake.
Yule client wake...
hii ngoma haijasahihishwa,walichofanya wamechukua sample ya watu wachache kwenda oral ili kujidai kuwa walifanyisha watu usahili,majibu ya oral hawatayapublish wataitana kwa vimemo tu,wakiulizwa watasema waliwapigia wahusika simu na kuwatumia e-mail.hii ndio bongoland.mtihani ulikua mrahisa sana...
Wakuu, poleni na masuala ya hii nchi isiyokua na kiongozi.
Jana kwenye mishe zangu, nikaingia Baa flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala.
Sasa ngoma leo imejibu,asee najamba mashuzi yananuka harufu sio ya nchi hii.
Naomba ushauri...
Enzi ya uhai alikua na hadhi yake kwa kweli,gari la serikali lenye mafuta full tank muda wote.ila leo nashangaa anaogeshwa na wananchi wa kawaida kabisa kule kijijini.
Wale maboss waliokua kila muda wako home kwake osterbay siwaoni hata wakishiriki shughuli yoyote ya mazishi zaidi ya kuaga...
Kaka yangu amefariki last two weeks.
Alikua Mtumishi wa Umma wa cheo kikubwa tu wizara fulani.
Ofcoz, siwezi kudanganya serikali iliuchukua huu msiba serious, sijajua ni kwa sababu ya miongozo yao au ni kwa sababu ya ukaribu kati ya bro na boss wake. Anyway bro alifaraiki ghafla sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.