Jana nilikunywa pombe then nikanunua mayai ya kuchemsha nikala, saivi najamba mashuzi yananuka hatari

kyanyangwe

JF-Expert Member
Oct 31, 2018
1,147
2,746
Wakuu, poleni na masuala ya hii nchi isiyokua na kiongozi.

Jana kwenye mishe zangu, nikaingia Baa flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala.

Sasa ngoma leo imejibu,asee najamba mashuzi yananuka harufu sio ya nchi hii.

Naomba ushauri nifanyaje, maana nakosa raha.
 
Wakuu,poleni na masuala ya hii nchi isiyokua na kiongozi.
Jana kwenye mishe zangu,nikaingia bar flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala.
Sasa ngoma leo imejibu,asee najamba mashuzi yananuka harufu sio ya nchi hii.
Naomba ushauri nifanyaje, maana nakosa raha.
hahhahaha dah
 
Wakuu,poleni na masuala ya hii nchi isiyokua na kiongozi.
Jana kwenye mishe zangu,nikaingia bar flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala.
Sasa ngoma leo imejibu,asee najamba mashuzi yananuka harufu sio ya nchi hii.
Naomba ushauri nifanyaje, maana nakosa raha.
Kunywa maziwa ya mgando nusu lita na maharage bakuli moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom