kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Wakuu, poleni na masuala ya hii nchi isiyokua na kiongozi.
Jana kwenye mishe zangu, nikaingia Baa flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala.
Sasa ngoma leo imejibu,asee najamba mashuzi yananuka harufu sio ya nchi hii.
Naomba ushauri nifanyaje, maana nakosa raha.
Jana kwenye mishe zangu, nikaingia Baa flani nikapiga valuer zangu mbili then akapita muuza mayai ya kuchemsha nikanunua mawili nikala.
Sasa ngoma leo imejibu,asee najamba mashuzi yananuka harufu sio ya nchi hii.
Naomba ushauri nifanyaje, maana nakosa raha.