Hai. Bodi saba za watumia maji wilayani Hai, Siha na Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro zimeibuka na tuhuma nzito kwamba aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya aliwapora mali za mabilioni.
Bodi hizo zimeiomba Serikali kuingilia kati sakata hilo ili warejeshewe mali zenye thamani ya...
Nimesikia mahojiaano yako ukisema kuwa Mkapa aliviponda vyama vya upinzani. JE, UMESOMA KITABU CHAKE? Katika kitabu hicho aliona kuwa TUME YA UCHAGUZI NI JUMUIYA YA CCM na ni kikwazo katika ustawi wa demokrasi. kwani haiwezi n haijawahi kutend haki.
TUNA MAPROFESA MAJALA WENGI!
Mangungo, Sultan wa Msovero katika Mwenyisagara, na Dk. Karl Peters. Mangungo sambamba na watu wake wote na Dk. Peters kwa niaba yake na washirika wake wengine wajao kwa pamoja wanaweka mkataba wa Urafiki wa Kudumu.
Mangungo amekubali kutoa himaya yake yote pamoja na watu wake na hadhi yake kwa...
Gazeti la mwananchi limekuwa likileta mfululizo wa kesi ya Zombe iliyohitimishwa kwa SP Bageni kuhukumiwa kifo.
Yaani IGP, Waziri wa usalama wa raia wote hawakuona umuhimu wa kuchunguza hadi Rais alipounda Tume.
Hilo ni tukio moja tu kati ya matukio mengi ambayo hayajawahi kuundiwa TUME...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.