Tunapoendelea kusoma mfululizo wa kesi ya Zombe katika gazeti la Mwananchi kuna mengi ya kujifunza

Duniahadaa

JF-Expert Member
Oct 16, 2017
336
677
Gazeti la mwananchi limekuwa likileta mfululizo wa kesi ya Zombe iliyohitimishwa kwa SP Bageni kuhukumiwa kifo.

Yaani IGP, Waziri wa usalama wa raia wote hawakuona umuhimu wa kuchunguza hadi Rais alipounda Tume.

Hilo ni tukio moja tu kati ya matukio mengi ambayo hayajawahi kuundiwa TUME. Wanauawa wanasemwa ni majambazi kumbe Askari wanataka pesa au madini kutoka kwa wanahanga au wanaua ili wapandishwe vyeo.

Kesi ya Zombe ni tone tu katika bahari ya dhuluma za uhai wa watu. Hebu cheki hii video chini, ingeundwa TUME kama ile ya JK kwa Zombe nani angepona hapo?

 
Kile kisa kinasisimua na kuhuzunisha sana. Mi nimeichelewa mwananchi ila naifuatilia the citizen ipo sehem ya nne ila wanaipost wanapojiskia. Naomba Moderator mtuwekee yote humu jf najua mnaweza. Afu nakaa jiran na msitu wa pande yaan kama naona kilichotokea
 
Yaani wakati wengine tukisubiria tu kwenda kuiona pepo ya milele muda utakapo fika, siyo kwa ndugu zetu polisi (walio wengi)!

Hawa jamaa wanashiriki kwenye matukio/matendo mengi sana ya uonevu kwa kutumia tu mgongo wa kazi yao.
 
Yaani wakati wengine tukisubiria tu kwenda kuiona pepo ya milele muda utakapo fika, siyo kwa ndugu zetu polisi (walio wengi)!

Hawa jamaa wanashiriki kwenye matukio/matendo mengi sana ya uonevu kwa kutumia tu mgongo wa kazi yao.
Jeshi la polisi chini ya Simon Sirro limeoza
 
Mwananchi gazeti la kinafiki mno na ninategemea vile vile wataandika why they stoped kuandika siku alizopotea mwandishi aliyekuwa anawaandikia wao Mr.Anzori,Aljezeera hadi leo haijasahau mwandishi wake anayeshikiliwa na serikali ya kidikiteta ya Misri.
 
Dikteta! Dikteta! Dikteta! Nimekuita mara tatu. Waha huwa wana onyo lao lisemalo "ulakafa
wichaye".
 
Back
Top Bottom