Wakuu habari, juzi nilileta uzi kuhusu line yangu kufungiwa
Kabla ya yote kwanza niwajibu waliokuwa wakilaumu au kushangaa mtu kuweka milioni 10 kwenye M pesa wakisema benki ndio salama
Benki unaweza kuweka na hela zako zikipotea vilevile, kama mnakumbuka kuna benki kama 3 zilifungwa kipindi...
Wakuu kwema?
Line yangu ya Vodacom inasoma mtandao vizuri lakini haifai kupiga namba yoyote, iwe ya kawaida au Mpesa au kununua vifurushi
Nilipoenda kwenye Vodashop nikidhani kuwa nilifungiwa sababu sikuhakiki namba vizuri
Lakini Vodashop walipoicheki wakasema niliihakiki vizuri na imetokea...
NetFlix ni mtandao wa ku stream show za television kama vile documentary na series
Netflix waliweka lugha ya Kiswahili kama moja ya lugha ambazo zipo kwenye subtitle ili mtazamaji mswahili asiyejua lugha husika basi anaweka hizo subtitle
Ila Kiswahili chenyewe ni kituko, maana kina makosa...
TMA waliitisha press kabisa kuhusu mvua zinazoendelea hapa Dar na kusema mvua hizi zitaendelea hadi Jumapili
Ila kwenye simu yangu, nikacheki utabiri nikaona tofauti na wa TMA inasema Jumapili, Jumatatu mvua itakuwepo kama kawaida, Jumanne(leo) ndio itakata
Nika save screenshot ya utabiri wa...
Wakuu unajua JF bila kuwa na msimamo itavunjika. Ni lazma kama Great Thinkers tuwe na msimamo. Sio mambo yanatokea yaniashia juu juu bila kufanya conclusion yoyote. JF inakuwa haina maana kabisa. So mi nataka kujua.. tumeconclude vipi hii ishu ya Gwajima. Ni yeye au sio yeye.
Hii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
Habarini wadau
Nimekuwa nikifuatilia sana Historia ya Zanzibar siku za karibuni
Kuna sehemu nilisoma kuwa anae enziwa kuwa ni baba wa mapinduzi Sheikh Aman Karume hakuwa anahusika kwa kiasi kikubwa na mapinduzi hayo na siku ya Mapinduzi alikuwa bara
aliyepanga na kutekeleza mapinduzi yake...
Katika sherehe za Mei Mosi leo baada ya kuwaambia wafanyakazi hatopandisha mshahara,
Rais Magufuli ili kuwapooza aliwaambia kuwa kikokotoo cha mafao alichoagiza kurudishwa mnamo Disemba 28 mwaka jana kuwa ni ghali mno na kinaisababishia hasara serikali ila alikirudisha cha zamani baada ya...
Mbunge huyu anaitwa Kishimba, sio maarufu sana ila alichoongea leo nimempiga alama
Kaongea kama dk 10 hivi
anasema elimu ya Tanzania ni kifungo cha maisha na sio ufunguo wa maisha kama msemo maarufu unaosema.
Sababu kaelezea ni kuwa mzazi unampeleka mtoto wako akiwa na miaka 7 shuleni...
Nafuatilia mikutano ya Rais Magufuli Mbeya
Kitu nilicho observe ni kuwa Rais akifika mahali njiani akiona kuna wananchi wengi wanamsubiri, basi yeye hufurahi sana na kuwagawia hela mara kadhaa milioni 5 ndio naona anagawa mara nyingi
Kuna sehemu nyingine kapita tena kaona kina wananchi...
Ukisikia kwenye vipindi vya Radio na Tv na mijadala mbalimbali jinsi Kiswahili kinavyokuzwa na huku Wakikiponda Kiingereza, utadhani Kiswahili ni lugha moja iliyoenea sana
Ila Kumbe ukienda nchi ambayo tunapakana nayo kabisa, Malawi hapo licha ya kuwa tume interact kwa miaka zaidi ya 55 sasa...
Kuna baadhi ya watu wanataka kuchafua jina la Uislam kwa kuiita Dini ya kigaidi
Kutokana na vikundi vichache vya Ugaidi huwezi ukalaumu Uislam wote.
Hapo chini ni mfano wa vikundi vichache vya Ugaidi
1.Al-Shabab (Somalia)
2.Al Murabitun (Spain),
3.Al-Qeada (Afghanistan),
4.Al-Qaeda...
Serikali imepiga marufuku mashabiki wa Yanga kuishangilia timu ya AS Vita kwani kufanya hivyo ni kukosa uzalendo
Kutakua na askari uwanjani watakaokuwa wanaaangalia mashabiki wote wanaoishangilia AS Vita na watawakamata mara moja..
Wakuu mambo vip
Niliona mjadala fulani hivi hapa JF kusisitiza watu kuwa na wake zaidi ya mmoja na wengi wakaonekana kuunga mkono
Wengi wanasema kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume na hivyo kuoa wake wengi kutawasaidia wanawake ambao wanakaa bila kuolewa na pia itasaidia mtu asichepuke
Ni...
Mtu mmoja nchini Malaysia amehukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 10 gerezani kwa kosa la kuukashifu Uislam na Mtume Muhammad katika mtandao wa kijamii
Chanzo: Al Jazeera
A Malaysian has been sentenced to more than 10 years in jail and three others have been charged over insults against Islam...
Leo Bungeni Mbunge Cecil Mwambe aliukiza kwanini Serikali inanunua korosho kwa sh. 2600 wakati Rais alitamka inunuliwe 3,300
Wizara ya kilimo ikajibu kuwa wananunua kwa bei hiyo kwa kuwa korosho zinakuwa hazina ubora, na wanazi grade kama daraja la pili hivyo zinanunuliwa kwa bei ambayo ni 80%...
Kwa tofauti kubwa ya kiwango walichoonyesha dhidi ya AS vita na kisha Al Ahly, hawataweza kuwafunga hata hapa nyumbani, watachezea japo sio goli nyingi kama za ugeninu wakijitahidi
Wakienda Algeria watachezea pia, wale Waarabu wamejikusanya vizuri na kutoa draw na AS Vita kwao, na wana chance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.