Mbunge wa CCM aongea ukweli mchungu: Elimu ya Tanzania ni kifungo cha maisha, sio ufunguo, wengi mnaogopa kusema

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Mbunge huyu anaitwa Kishimba, sio maarufu sana ila alichoongea leo nimempiga alama

Kaongea kama dk 10 hivi
anasema elimu ya Tanzania ni kifungo cha maisha na sio ufunguo wa maisha kama msemo maarufu unaosema.

Sababu kaelezea ni kuwa mzazi unampeleka mtoto wako akiwa na miaka 7 shuleni anamaliza akiwa na miaka 25 huku anadaiwa milioni 10 au zaidi za bodi ya mikopo huku kazi hakuna na hana utaalamu wa kufanya jambo lolote la tofauti na ambaye hana degree huku akiambiwa ajiajiri.

Hapo mzazi kumpeleka hadi chuo kikuu umeuza ng'ombe kadhaa au hata mashamba kupata ada.

Ajira zikitangazwa ni ajira 50 huku wanao apply ni 40,000.

----
Aisee hii kitu ni kweli kabisa mwenyewe nusura ningekuwa mhanga wa hii mamabo sema Mungu kanifanyia miujiza tu
hebu msikilizeni hapa.

 
1. suala la ukosefu wa ajira ni 'world problem' ambalo linahitaji mjadala mpana sana kutoka kwa wadau mbalimbali. wachumi wanasema matatizo ya uchumi yaani economic problems yanasababishwa na (a) scarce resources (b) unlimited wants. hivyo, employment opportunies are scarce and wahitaji wa ajira are unlimited hivyo lazima tatizo litokee. kusema kwamba elimu ya Tanzania ndio imetengeneza tatizo la ajira ni ufinyu wa kufikiri kwa sababu hata marekani ajira ni tatizo.

2. suala la kujiajiri linahusu sana ujasiriamali ambalo ni suala la ujuzi na uwezo binafsi nje ya shule. Hivyo ninaamini huyu msomi aliyemaliza chuo akiona ajira ni tabu lazima atumie uwezo binafsi kuanzisha biashara na pia asitegemee faida kubwa sana mwanzo. Tatizo vijana wanapojiajiri wanategemea faida kubwa na ya haraka na wanapokosa wanakata tamaa.

3. suala la mtaji wa kuanzishia biashara inaweza kuwa kikwazo kwa wahitimu ila si la kutisha sana. hapo ndio umuhimu wa team work unapoonekana, mkikutana vijana watano au kumi mkawa na wazo moja , itakuwa rahisi kukopesheka na kuanzisha biashara. mikopo ya halamashauri kwa ajili ya vijana ilikuwa ni fursa nzuri kwa vijana kujikwamua kutokana na ukosefu wa mikopo lakini kukopa hawakopi na wanaendelea kulalamika
 
Mpaka kesho sifikirii kuwekeza hela zangu kwenye elimu ya mwingereza kwenye vichwa vya wanangu.

Nimejiwekea malengo ya kuwafungulia biashara. Wakitoka kayumba, kijiweni kwao itakua ni kwenye hizo biashara ili wajifunze namna ya kuendesha.

Nitakua nawamegea nyama nilizonazo kichwani ili kupambana na ulimwengu ujao juu ya uendeshaji wa biashara
 
Mkuu tatizo la ajira kwa Afrika ni la tofauti kabisa na la nchi za ulimwengu wa 1, kama Japan, America, Ulaya au Korea huko

Ulaya nchi kama Sweden labda mhitimu wa Udaktari akikosa ajira ni kwa sababu madaktari wapo wa kutosha, hawahitajiki na wagonjwa wanahudumiwa vizuri

Ila kwa Tz ni kuwa daktari amehitimu hana ajira ika Hospitali kuna mlundikano na foleni ndefu za kumsubiri dokta, huko vijijini hata hospitali hakuna, ikiwepo ipo kilometa 40 na haina madaktari
Huoni tofauti kubwa hapo?
 
1. suala la ukosefu wa ajira ni 'world problem' ambalo linahitaji mjadala mpana sana kutoka kwa wadau mbalimbali. wachumi wanasema matatizo ya uchumi yaani economic problems yanasababishwa na (a) scarce resources (b) unlimited wants. hivyo, employment opportunies are scarce and wahitaji wa ajira are unlimited hivyo lazima tatizo litokee. kusema kwamba elimu ya Tanzania ndio imetengeneza tatizo la ajira ni ufinyu wa kufikiri kwa sababu hata marekani ajira ni tatizo.

2. suala la kujiajiri linahusu sana ujasiriamali ambalo ni suala la ujuzi na uwezo binafsi nje ya shule. Hivyo ninaamini huyu msomi aliyemaliza chuo akiona ajira ni tabu lazima atumie uwezo binafsi kuanzisha biashara na pia asitegemee faida kubwa sana mwanzo. Tatizo vijana wanapojiajiri wanategemea faida kubwa na ya haraka na wanapokosa wanakata tamaa.

3. suala la mtaji wa kuanzishia biashara inaweza kuwa kikwazo kwa wahitimu ila si la kutisha sana. hapo ndio umuhimu wa team work unapoonekana, mkikutana vijana watano au kumi mkawa na wazo moja , itakuwa rahisi kukopesheka na kuanzisha biashara. mikopo ya halamashauri kwa ajili ya vijana ilikuwa ni fursa nzuri kwa vijana kujikwamua kutokana na ukosefu wa mikopo lakini kukopa hawakopi na wanaendelea kulalamika
Mzee nadhani hufahamu na hupasi kuelimishwa endelea kuunga mkono
 
Mkuu tatizo la ajira kwa Afrika ni la tofauti kabisa na la nchi za ulimwengu wa 1, kama Japan, America, Ulaya au Korea huko

Ulaya nchi kama Sweden labda mhitimu wa Udaktari akikosa ajira ni kwa sababu madaktari wapo wa kutosha, hawahitajiki na wagonjwa wanahudumiwa vizuri

Ila kwa Tz ni kuwa daktari amehitimu hana ajira ika Hospitali kuna mlundikano na foleni ndefu za kumsubiri dokta, huko vijijini hata hospitali hakuna, ikiwepo ipo kilometa 40 na haina madaktari
Huoni tofauti kubwa hapo?
Huyu jamaa asingefaa hata kujibiwa
 
Hata kama wasomi hawapo vizuri lakini nanyi mmezidi kuwawekea matarijio makubwa kupita kiasi. Yaani mtu ukisikia katoka chuo bhasi unadhani kila kitu atakijua

Mtu kasoma ualimu kwa mapenzi na taaluma yake lakini akifika mtaani analazimishwa kujiajiri.
Mtu kasoma diplomasia au siasa lakini naye watu wanamshangaa kwa nini hawezi kujiajiri !!!..

Kwa nini isilaumiwe serikali kwa kushindwa kuajiri au kutengeneza mazingira thabiti kwa sekta binafsi ili ziweze kuzalisha ajira ???.....

Kwa nini serikali isiboreshe mazingira na aina ya elimu inayotolewa maana kuna shule tulizosoma wengine hapa lakini ukipita leo ni mbaya kuliko wakati unasoma. Tunategemea tupate watu competent kutoka katika elimu hiii !!!!!...

Kwanza watoto wengi wa kitanzania wanaandaliwa kusoma, kufaulu ,kuajiriwa na kuoa ama kuolewa. Sasa hao watu competent watatoka wapi
 
Ni kweli lakin sio simple, kama,ulivoeleza kuna hasara,vilevile
1. suala la ukosefu wa ajira ni 'world problem' ambalo linahitaji mjadala mpana sana kutoka kwa wadau mbalimbali. wachumi wanasema matatizo ya uchumi yaani economic problems yanasababishwa na (a) scarce resources (b) unlimited wants. hivyo, employment opportunies are scarce and wahitaji wa ajira are unlimited hivyo lazima tatizo litokee. kusema kwamba elimu ya Tanzania ndio imetengeneza tatizo la ajira ni ufinyu wa kufikiri kwa sababu hata marekani ajira ni tatizo.

2. suala la kujiajiri linahusu sana ujasiriamali ambalo ni suala la ujuzi na uwezo binafsi nje ya shule. Hivyo ninaamini huyu msomi aliyemaliza chuo akiona ajira ni tabu lazima atumie uwezo binafsi kuanzisha biashara na pia asitegemee faida kubwa sana mwanzo. Tatizo vijana wanapojiajiri wanategemea faida kubwa na ya haraka na wanapokosa wanakata tamaa.

3. suala la mtaji wa kuanzishia biashara inaweza kuwa kikwazo kwa wahitimu ila si la kutisha sana. hapo ndio umuhimu wa team work unapoonekana, mkikutana vijana watano au kumi mkawa na wazo moja , itakuwa rahisi kukopesheka na kuanzisha biashara. mikopo ya halamashauri kwa ajili ya vijana ilikuwa ni fursa nzuri kwa vijana kujikwamua kutokana na ukosefu wa mikopo lakini kukopa hawakopi na wanaendelea kulalamika
 
Si ndo hapo...yani sisi watanzania baadhi wakifanikiwa wanaona wengine wazembe kumbe hapa ni kubahatisha kwa kwenda mbele....
Mzee huyu Jamaa sijui Kama anachoongea anakijua huko halmashauri pesa za vijana utazisikia kwenye kampeni tu ukienda ofisini hazipo, hao akina mama wanakopeshwa 50k, maximum 100k, ndani ya miezi6..., Hiyo ni pesa serious ya kusemea uanzishe biashara
 
Bashiru atasema huyu anahitaji kupikwa kama Nape na Bashe kwani hastahili kukosoa chochote serikalini meaning dikteta hatasaini forms zake ni Mbunge mkorofi hivyo hatarudi mjengoni 2020.

Mbunge huyu anaitwa Kishimba, sio maarufu sana ila alichoongea leo nimempiga alama

Kaongea kama dk 10 hivi
anasema elimu ya Tanzania ni kifungo cha maisha na sio ufunguo wa maisha kama msemo maarufu unaosema
sababu kaelezea ni kuwa mzazi unampeleka mtoto wako akiwa na miaka 7 shuleni anamaliza akiwa na miaka 25 huku anadaiwa milioni 10 au zaidi za bodi ya mikopo huku kazi hakuna na hana utaalamu wa kufanya jambo lolote la tofauti na ambaye hana degree huku akiambiwa ajiajairi
hapo mzazi kumpeleka hadi chuo kikuu umeuza ng'ombe kadhaa au hata mashamba kupata ada
Ajira zikitangazwa ni ajira 50 huku wanao apply ni 40,000
aisee hii kitu ni kweli kabisa mwenyewe nusura ningekuwa mhanga wa hii mamabo sema Mungu kanifanyia miujiza tu
hebu msikilizeni hapa
 
Mkuu tatizo la ajira kwa Afrika ni la tofauti kabisa na la nchi za ulimwengu wa 1, kama Japan, America, Ulaya au Korea huko

Ulaya nchi kama Sweden labda mhitimu wa Udaktari akikosa ajira ni kwa sababu madaktari wapo wa kutosha, hawahitajiki na wagonjwa wanahudumiwa vizuri

Ila kwa Tz ni kuwa daktari amehitimu hana ajira ika Hospitali kuna mlundikano na foleni ndefu za kumsubiri dokta, huko vijijini hata hospitali hakuna, ikiwepo ipo kilometa 40 na haina madaktari
Huoni tofauti kubwa hapo?

Hongera sana ndugu una akili njema mno...
 
1. suala la ukosefu wa ajira ni 'world problem' ambalo linahitaji mjadala mpana sana kutoka kwa wadau mbalimbali. wachumi wanasema matatizo ya uchumi yaani economic problems yanasababishwa na (a) scarce resources (b) unlimited wants. hivyo, employment opportunies are scarce and wahitaji wa ajira are unlimited hivyo lazima tatizo litokee. kusema kwamba elimu ya Tanzania ndio imetengeneza tatizo la ajira ni ufinyu wa kufikiri kwa sababu hata marekani ajira ni tatizo.

2. suala la kujiajiri linahusu sana ujasiriamali ambalo ni suala la ujuzi na uwezo binafsi nje ya shule. Hivyo ninaamini huyu msomi aliyemaliza chuo akiona ajira ni tabu lazima atumie uwezo binafsi kuanzisha biashara na pia asitegemee faida kubwa sana mwanzo. Tatizo vijana wanapojiajiri wanategemea faida kubwa na ya haraka na wanapokosa wanakata tamaa.

3. suala la mtaji wa kuanzishia biashara inaweza kuwa kikwazo kwa wahitimu ila si la kutisha sana. hapo ndio umuhimu wa team work unapoonekana, mkikutana vijana watano au kumi mkawa na wazo moja , itakuwa rahisi kukopesheka na kuanzisha biashara. mikopo ya halamashauri kwa ajili ya vijana ilikuwa ni fursa nzuri kwa vijana kujikwamua kutokana na ukosefu wa mikopo lakini kukopa hawakopi na wanaendelea kulalamika
Itakuwa umetoka shule muda si mrefu au uzao mpya wa LB7.
 
Back
Top Bottom