Kwanini Rais Magufuli amekilalamikia sana kikokotoo cha zamani leo kana sie aliyeagiza kibadilishwe?

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Katika sherehe za Mei Mosi leo baada ya kuwaambia wafanyakazi hatopandisha mshahara,

Rais Magufuli ili kuwapooza aliwaambia kuwa kikokotoo cha mafao alichoagiza kurudishwa mnamo Disemba 28 mwaka jana kuwa ni ghali mno na kinaisababishia hasara serikali ila alikirudisha cha zamani baada ya kilicholetwa kulalamikiwa sana hivyo wasiwe wanaangalia tu upande mmoja kuwa wanakandamizwa kimaslahi

Rais alisema kikokotoo hiki hakitumiki hata nchi jirani au hata nchi tajiri za Ulaya maana ni gharama sana

Tukirudi nyuma Disemba ile 28 Rais Magufuli alishangaa sana watendaji wake kuondoa kikokotoo cha zamani (hiki alichokilalamikia leo) na kusema kitendo hicho ni kuwaonea sana wafanyakazi na hadi kufikia kumtumbua yule dada wa SSRA na waziri Jenista Mhagama japo hakumtumbua ila aliponda sana uamuzi ule ambao alikuwa akiuunga mkono

Watu wengi walishangaa na kujiuliza ni wizara au SSRA ndio walifanya maamuzi ya kubadili kikokotoo peke yao kwa serikali hii ya JPM ambayo waziri kabla ya kufanya maamuzi yoyote hata madogo inabidi ujiulize zaidi ya mara 10 ili asije kuumbuka.
Iweje uamuzi mkubwa kama wa kikokotoo wafanye wenyewe?
 
Muulize Irene Kisaka atakupa jibu.
Katika sherehe za Mei Mosi leo baada ya kuwaambia wafanyakazi hatopandisha mshahara,

Rais Magufuli ili kuwapooza aliwaambia kuwa kikokotoo cha mafao alichoagiza kurudishwa mnamo Disemba 28 mwaka jana kuwa ni ghali mno na kinaisababishia hasara serikali ila alikirudisha cha zamani baada ya kilicholetwa kulalamikiwa sana hivyo wasiwe wanaangalia tu upande mmoja kuwa wanakandamizwa kimaslahi

Rais alisema kikokotoo hiki hakitumiki hata nchi jirani au hata nchi tajiri za Ulaya maana ni gharama sana

Tukirudi nyuma Disemba ile 28 Rais Magufuli alishangaa sana watendaji wake kuondoa kikokotoo cha zamani (hiki alichokilalamikia leo) na kusema kitendo hicho ni kuwaonea sana wafanyakazi na hadi kufikia kumtumbua yule dada wa SSRA na waziri Jenista Mhagama japo hakumtumbua ila aliponda sana uamuzi ule ambao alikuwa akiuunga mkono

Watu wengi walishangaa na kujiuliza ni wizara au SSRA ndio walifanya maamuzi ya kubadili kikokotoo peke yao kwa serikali hii ya JPM ambayo waziri kabla ya kufanya maamuzi yoyote hata madogo inabidi ujiulize zaidi ya mara 10 ili asije kuumbuka.
Iweje uamuzi mkubwa kama wa kikokotoo wafanye wenyewe?
 
Katika sherehe za Mei Mosi leo baada ya kuwaambia wafanyakazi hatopandisha mshahara,

Rais Magufuli ili kuwapooza aliwaambia kuwa kikokotoo cha mafao alichoagiza kurudishwa mnamo Disemba 28 mwaka jana kuwa ni ghali mno na kinaisababishia hasara serikali ila alikirudisha cha zamani baada ya kilicholetwa kulalamikiwa sana hivyo wasiwe wanaangalia tu upande mmoja kuwa wanakandamizwa kimaslahi

Rais alisema kikokotoo hiki hakitumiki hata nchi jirani au hata nchi tajiri za Ulaya maana ni gharama sana

Tukirudi nyuma Disemba ile 28 Rais Magufuli alishangaa sana watendaji wake kuondoa kikokotoo cha zamani (hiki alichokilalamikia leo) na kusema kitendo hicho ni kuwaonea sana wafanyakazi na hadi kufikia kumtumbua yule dada wa SSRA na waziri Jenista Mhagama japo hakumtumbua ila aliponda sana uamuzi ule ambao alikuwa akiuunga mkono

Watu wengi walishangaa na kujiuliza ni wizara au SSRA ndio walifanya maamuzi ya kubadili kikokotoo peke yao kwa serikali hii ya JPM ambayo waziri kabla ya kufanya maamuzi yoyote hata madogo inabidi ujiulize zaidi ya mara 10 ili asije kuumbuka.
Iweje uamuzi mkubwa kama wa kikokotoo wafanye wenyewe?
Ni dhambi kudanganya na kuushuudia uongo, kweli wanasiasa wote hasa was ccm lazima waende motoni,
Nadhan mwenyezi Angewahukumu kwa kuwapa mapigo matakatifu hawa wanaoongea uku wakijua kuwa no uongo hapa hapa duniani inshallah.
 
Ni dhambi kudanganya na kuushuudia uongo, kweli wanasiasa wote hasa was ccm lazima waende motoni,
Nadhan mwenyezi Angewahukumu kwa kuwapa mapigo matakatifu hawa wanaoongea uku wakijua kuwa no uongo hapa hapa duniani inshallah.
Nadhani alipiga mile cha njombe kabla ya hotuba
 
Katika sherehe za Mei Mosi leo baada ya kuwaambia wafanyakazi hatopandisha mshahara,

Rais Magufuli ili kuwapooza aliwaambia kuwa kikokotoo cha mafao alichoagiza kurudishwa mnamo Disemba 28 mwaka jana kuwa ni ghali mno na kinaisababishia hasara serikali ila alikirudisha cha zamani baada ya kilicholetwa kulalamikiwa sana hivyo wasiwe wanaangalia tu upande mmoja kuwa wanakandamizwa kimaslahi

Rais alisema kikokotoo hiki hakitumiki hata nchi jirani au hata nchi tajiri za Ulaya maana ni gharama sana

Tukirudi nyuma Disemba ile 28 Rais Magufuli alishangaa sana watendaji wake kuondoa kikokotoo cha zamani (hiki alichokilalamikia leo) na kusema kitendo hicho ni kuwaonea sana wafanyakazi na hadi kufikia kumtumbua yule dada wa SSRA na waziri Jenista Mhagama japo hakumtumbua ila aliponda sana uamuzi ule ambao alikuwa akiuunga mkono

Watu wengi walishangaa na kujiuliza ni wizara au SSRA ndio walifanya maamuzi ya kubadili kikokotoo peke yao kwa serikali hii ya JPM ambayo waziri kabla ya kufanya maamuzi yoyote hata madogo inabidi ujiulize zaidi ya mara 10 ili asije kuumbuka.
Iweje uamuzi mkubwa kama wa kikokotoo wafanye wenyewe?
Wale wote ambao walikuwa wanadhani yule Bi dada aliyekuwa mkurugenzi akatimuliwa baada ya kuonekana kutetea Kikokotoo kwamba alijifungia chumbani na kuja na uamuzi laana zao zilizokuwa zikimuelekea zitapinduliwa
 
Ni dhambi kudanganya na kuushuudia uongo, kweli wanasiasa wote hasa was ccm lazima waende motoni,
Nadhan mwenyezi Angewahukumu kwa kuwapa mapigo matakatifu hawa wanaoongea uku wakijua kuwa no uongo hapa hapa duniani inshallah.
Dah, uongo mtatakatifu
 
Back
Top Bottom