#UpdatesKishikaji
MATAGA ON [emoji91]
1. a) WAPINZANI: Hakuna Uhuru wa Vyombo vya habari vimekuwa Vinafungiwa kibabe.
MATAGA : Hakuna Chombo kinachofungiwa kibabe. Vinafanya makosa kukosoa kila kitu
b) SAMIA: Naomba vile vyombo vya habari mkavifungulie, msiwe watu wa kufungia vyombo vya...
Bila shaka wazima wa afya. Kama wiki moja imepita mke wangu amekuwa anaugulia maumivu ya tumbo, Hali hiyo baada ya kuzidi leo tumeenda hospital na baada ya vipimo imeonekana ana Mimba na imetunga nje ya mfuko wa uzazi.
Mimba Ina Kama wiki tatu na baada ya majibu hayo nimeogopa maana ni Mimba ya...
Kama mnaovyoona Mungu akijalia nataka na mm nikaanze kibanda changu.
Ni sehemu gani mnanishauri nifanyie maboresho kama sehemu ya toilet ni sahihi, master nk..
Karibuni kwa ushauri
Yaani toka tumeanza safari kuna mtu anajamba ushuzi unanuka balaa na daladala imejaa mno na safari bado ndefu nimevumilia nimeshindwa nimeamua kusema wazi kwenye daladala na watu wengine wamedakia lakini hali bado ni mbaya
Dah! Hizi daladala hizi zina karaa wakati mwingine
Leo demu kaja gheto , ila bahati mbaya yupo kwenye danger period
Sasa nikasema ngoja niende pharmacy kununua ndomu....yaani huwezi amini nimezunguka maduka kama matano duka la sita nikakuta zipo za Rough rider bei ni 3000, kiukweli roho imeniuma kutoa hela yote hii maana nimezoea zile za 500...
Wakuu mara nyingi nimrkuwa nikienda high sprit lounge pale posta ila leo nataka nibadilishe..wapi niende?
Samahani kwa muandiko mbaya nipo kwa daladala mkono mmoja nimeshika bomba[emoji23]
Habari wana jf.....
Toka juzi sijaingia jf. Nii nyuzi zipi ambazo zimetrend sana ndani xa hizi siku mbili kuanzia jumapili mpaka leo maana niliacha ule uzi wa Dada Jane ukiwa unakimbia balaa
Naomba mquote hizo nyuzi hapa ili niweze kupitia mmoja baada ya mwingine.
Sent using Jamii Forums...
Nimemsikia Nape Nnauye wakati anahojiwa na clouds kwenye msiba amesema wakati Clouds imevamiwa aliongea na Ruge na kumuuliza kama ana ujasiri wa kuliongelea suala la kuvamiwa kwa Clouds , aliongea kuwa yeye haogopi na ataliongelea hadharani bila kumuogopa mtu yeyote.
Swali ambalo najiuliza ni...
Pamoja na kwamba inachekesha lakini ukiangalia ni sawa na wale wapambe wa Magu ambao pamoja na kwamba kuna muda huwa anatoa kauli za ajabu na kutatanisha lakini wapambe wake huishia kusifia na kupiga kelele.
Kuna kauli kama ile ya fyatueni watoto ambayo ilikuja kukanushwa tena na waziri wa afya...
Habari za jion, kuna demu fulani nimeona anatumia vidonge hivi sijaelewa ni vya nini.
Kwa yeyote anayeelewa tafadhari msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha barua kinavyojieleza, mimi Papushikashi kuanzia leo tarehe 23/12/2018 nimeamua kujitoa rasmi kwenye chama tajwa hapo juu.
Hii ni kutokana na aibu niliyoipata baada ya demu wangu kuja gheto na mimi kushindwa kusimamisha/kudindisha nikabaki tu natoa macho na aibu juu yake .
Cha...
Bila shaka hali zenu ni njema wakati tunaianza weekend
Nije kwenye mada
Wakati leo niko maeneo fulani jijini Dar es salaam kuna gari limepita likitangaza kwa wafanyabiashara ndogo waende sehemu iliyopangwa ili wajiandikishe na kupata hivyo vitambulisho.
Kwakuwa nilikuwa sijaviona kwa macho...
Habari zenu waungwana na bila shaka weekend imeenda mujarabu
Niende moja kwa moja kwenye mada
Juzi kuna rafiki yangu wa siku nyingi tulikuwa tumepoteana kitambo na hatukuwa na mawasiliano, sasa nimeangaika nikawa nimepata mawasiliano yake. Basi nikampigia simu tukawa tunapiga story za hapa na...
Wadau salaam
Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini...
samahani kwa wadau kuna program (game) nimedownload mpaka ikamaliza 100% kwa kutumia idm, sasa wakati wa ku extract kwa win rar imeshindwa kumaliza inaonyesha kuna file ndani yake limecorrupt
Sasa vipi naweza kulisolve hilo tatizo la file moja au mpaka nianze upya kudownload kutoka mwanzo...
Wakuu habari,
Naomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi gani ya kupata bima ya afya anielekeze inapatika vipi na wapi maana nataka kumkatia bima mama yangu.
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.