Search results

  1. Papushikashi

    Bila unafiki huwezi kuwa mwana-CCM

    #UpdatesKishikaji MATAGA ON [emoji91] 1. a) WAPINZANI: Hakuna Uhuru wa Vyombo vya habari vimekuwa Vinafungiwa kibabe. MATAGA : Hakuna Chombo kinachofungiwa kibabe. Vinafanya makosa kukosoa kila kitu b) SAMIA: Naomba vile vyombo vya habari mkavifungulie, msiwe watu wa kufungia vyombo vya...
  2. Papushikashi

    Msaada: Mimba ya mke wangu imetunga nje ya kizazi

    Bila shaka wazima wa afya. Kama wiki moja imepita mke wangu amekuwa anaugulia maumivu ya tumbo, Hali hiyo baada ya kuzidi leo tumeenda hospital na baada ya vipimo imeonekana ana Mimba na imetunga nje ya mfuko wa uzazi. Mimba Ina Kama wiki tatu na baada ya majibu hayo nimeogopa maana ni Mimba ya...
  3. Papushikashi

    Nimependa hii ramani ya nyumba, nataka niifanyie maboresho kidogo

    Kama mnaovyoona Mungu akijalia nataka na mm nikaanze kibanda changu. Ni sehemu gani mnanishauri nifanyie maboresho kama sehemu ya toilet ni sahihi, master nk.. Karibuni kwa ushauri
  4. Papushikashi

    Shabiki namba moja Taifa Stars

    Huyu jamaa ametrend sana toka mechi ya taifa stars kumbe kaanza muda
  5. Papushikashi

    Nimepanda daladala kuna mtu anajampa toka mwanzo wa safari natamani nishuke

    Yaani toka tumeanza safari kuna mtu anajamba ushuzi unanuka balaa na daladala imejaa mno na safari bado ndefu nimevumilia nimeshindwa nimeamua kusema wazi kwenye daladala na watu wengine wamedakia lakini hali bado ni mbaya Dah! Hizi daladala hizi zina karaa wakati mwingine
  6. Papushikashi

    Condom zimekuwa adimu

    Leo demu kaja gheto , ila bahati mbaya yupo kwenye danger period Sasa nikasema ngoja niende pharmacy kununua ndomu....yaani huwezi amini nimezunguka maduka kama matano duka la sita nikakuta zipo za Rough rider bei ni 3000, kiukweli roho imeniuma kutoa hela yote hii maana nimezoea zile za 500...
  7. Papushikashi

    Tupeane taarifa: Ni viwanja gani kuruka majoka mnanishauri niende

    Wakuu mara nyingi nimrkuwa nikienda high sprit lounge pale posta ila leo nataka nibadilishe..wapi niende? Samahani kwa muandiko mbaya nipo kwa daladala mkono mmoja nimeshika bomba[emoji23]
  8. Papushikashi

    Niliwamisi wana jf, ni yapi yame-trend ndani ya siku hizi?

    Habari wana jf..... Toka juzi sijaingia jf. Nii nyuzi zipi ambazo zimetrend sana ndani xa hizi siku mbili kuanzia jumapili mpaka leo maana niliacha ule uzi wa Dada Jane ukiwa unakimbia balaa Naomba mquote hizo nyuzi hapa ili niweze kupitia mmoja baada ya mwingine. Sent using Jamii Forums...
  9. Papushikashi

    Nape: Ruge alikuwa jasiri kwa kutaja hadharani watu waliovamia Clouds

    Nimemsikia Nape Nnauye wakati anahojiwa na clouds kwenye msiba amesema wakati Clouds imevamiwa aliongea na Ruge na kumuuliza kama ana ujasiri wa kuliongelea suala la kuvamiwa kwa Clouds , aliongea kuwa yeye haogopi na ataliongelea hadharani bila kumuogopa mtu yeyote. Swali ambalo najiuliza ni...
  10. Papushikashi

    Huyu mzee namfananisha na wapambe wa Magufuli

    Pamoja na kwamba inachekesha lakini ukiangalia ni sawa na wale wapambe wa Magu ambao pamoja na kwamba kuna muda huwa anatoa kauli za ajabu na kutatanisha lakini wapambe wake huishia kusifia na kupiga kelele. Kuna kauli kama ile ya fyatueni watoto ambayo ilikuja kukanushwa tena na waziri wa afya...
  11. Papushikashi

    Msaada: Hii dawa kazi yake nini?

    Habari za jion, kuna demu fulani nimeona anatumia vidonge hivi sijaelewa ni vya nini. Kwa yeyote anayeelewa tafadhari msaada Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Papushikashi

    Maombi ya kujitoa CHAPUTA

    Kama kichwa cha barua kinavyojieleza, mimi Papushikashi kuanzia leo tarehe 23/12/2018 nimeamua kujitoa rasmi kwenye chama tajwa hapo juu. Hii ni kutokana na aibu niliyoipata baada ya demu wangu kuja gheto na mimi kushindwa kusimamisha/kudindisha nikabaki tu natoa macho na aibu juu yake . Cha...
  13. Papushikashi

    Maajabu ya vitambulisho vya Magu

    Bila shaka hali zenu ni njema wakati tunaianza weekend Nije kwenye mada Wakati leo niko maeneo fulani jijini Dar es salaam kuna gari limepita likitangaza kwa wafanyabiashara ndogo waende sehemu iliyopangwa ili wajiandikishe na kupata hivyo vitambulisho. Kwakuwa nilikuwa sijaviona kwa macho...
  14. Papushikashi

    Msaada: namna ya kurudisha/ kusoma sms zilizofutwa kwenye simu

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza....napenda kujua kama kuna app ya kurudisha sms ambazo tayari zimefutwa na ukaziona tena nifahamishe
  15. Papushikashi

    Hivi kweli tumefika huku.....!!!!

    Habari zenu waungwana na bila shaka weekend imeenda mujarabu Niende moja kwa moja kwenye mada Juzi kuna rafiki yangu wa siku nyingi tulikuwa tumepoteana kitambo na hatukuwa na mawasiliano, sasa nimeangaika nikawa nimepata mawasiliano yake. Basi nikampigia simu tukawa tunapiga story za hapa na...
  16. Papushikashi

    Nimemtongoza demu wiki moja tu kaenda kuwatangazia ndugu zake kapata mchumba

    Wadau salaam Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini...
  17. Papushikashi

    Msaada

    Naomba nielekezwe sehemu ya kudownload app ya JF natumia simu ya Microsoft Lumia(window phone)
  18. Papushikashi

    Programu imeshindwa kuextract kwa win rar imeshindwa kumaliza inaonyesha kuna file ndani yake limecorrupt

    samahani kwa wadau kuna program (game) nimedownload mpaka ikamaliza 100% kwa kutumia idm, sasa wakati wa ku extract kwa win rar imeshindwa kumaliza inaonyesha kuna file ndani yake limecorrupt Sasa vipi naweza kulisolve hilo tatizo la file moja au mpaka nianze upya kudownload kutoka mwanzo...
  19. Papushikashi

    Msaada: Jinsi ya kupata bima ya afya

    Wakuu habari, Naomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi gani ya kupata bima ya afya anielekeze inapatika vipi na wapi maana nataka kumkatia bima mama yangu. Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom