Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,794
Kama kichwa cha barua kinavyojieleza, mimi Papushikashi kuanzia leo tarehe 23/12/2018 nimeamua kujitoa rasmi kwenye chama tajwa hapo juu.
Hii ni kutokana na aibu niliyoipata baada ya demu wangu kuja gheto na mimi kushindwa kusimamisha/kudindisha nikabaki tu natoa macho na aibu juu yake .
Cha ajabu baada ya demu kuondoka ndipo nyege zikaja kama zote nikaenda kupiga nyeto kama kawaida yangu, na demu mwenyewe aliondoka kwa hasira akisema eti kuna mtu nimetembea nae jana ndio maaana sikuwa na mzuka nae.
Hivyo, kutokana na maelezo hapo juu nimeamua kwa dhati kabisa ya moyo wangu nimejitoa rasmi na nakala ya barua hii iende kwa mwenyekiti na katibu wa chama hiki.
ASANTENI
CC: @zeroIQ
Hii ni kutokana na aibu niliyoipata baada ya demu wangu kuja gheto na mimi kushindwa kusimamisha/kudindisha nikabaki tu natoa macho na aibu juu yake .
Cha ajabu baada ya demu kuondoka ndipo nyege zikaja kama zote nikaenda kupiga nyeto kama kawaida yangu, na demu mwenyewe aliondoka kwa hasira akisema eti kuna mtu nimetembea nae jana ndio maaana sikuwa na mzuka nae.
Hivyo, kutokana na maelezo hapo juu nimeamua kwa dhati kabisa ya moyo wangu nimejitoa rasmi na nakala ya barua hii iende kwa mwenyekiti na katibu wa chama hiki.
ASANTENI
CC: @zeroIQ