Maajabu ya vitambulisho vya Magu

Papushikashi

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
10,708
12,789
Bila shaka hali zenu ni njema wakati tunaianza weekend

Nije kwenye mada
Wakati leo niko maeneo fulani jijini Dar es salaam kuna gari limepita likitangaza kwa wafanyabiashara ndogo waende sehemu iliyopangwa ili wajiandikishe na kupata hivyo vitambulisho.

Kwakuwa nilikuwa sijaviona kwa macho yangu nikasema ngoja niangalie hili picha mpaka mwisho .
Baada ya muda fulani naona watu wanarudi meno yote nje baada ya kuvipata(wanalipia 20000)

Mimi nikasema ngoja nifanye research kidogo ili nijue wanafa27nya biaahara gani....haaaa hapa nimecheka wawili kati ya watano niliowauliza wanafanya biashara kwenye soko (wana vimeza vidogo kwenye soko) kwahiyo wanasema ushuru na kodi nyingine bye bye, wale wengine mmoja ana stationary na wawili wanauza urembo wanatembeza.
Lakini vile vitambulisho vina alama au chapa ya TRA sasa nikasema kweli hawa wanaelewa hata maana yake au wamechukua tu kwa mkumbo.
Lakini yote kwa yote Sirikali tayari imeingiza hela 20000 sio ndogo na ukizingatia watu wa aina hii wengi na baadhi ya kodi au ushuru wa halmashauri utaendelea kuwa palepale.

Papushikashi.
 
Mkuu hapo maajabu ni yapi? Mimi nadhani maajabu yako nchini Uganda ambapo kiongozi Mkuu wa upinzani mwenye wafuasi million 2 alikuwa DJ
 
Mkuu hapo maajabu ni yapi? Mimi nadhani maajabu yako nchini Uganda ambapo kiongozi Mkuu wa upinzani mwenye wafuasi million 2 alikuwa DJ
Maajabu ni kuona mfugaji mmoja mnyarwanda kutoka huko kijijini anakuja kuwatapeli wajanja wa mjini
 
Tatizo ni serikali kushindwa kutoa mwongozo unaoeleweka, usishangae ugomvi wa mgambo wa halmashauri ikarudi upya.

Serikali iteo elimu ya kutosha kuhusu hivi vitambulisho, au wanasubiri wauze kwanza ndio waje na elimu ya ufafanuzi kuhusu hivyo vitambulisho.?
 
Tatizo ni serikali kushindwa kutoa mwongozo unaoeleweka, usishangae ugomvi wa mgambo wa halmashauri ikarudi upya.

Serikali iteo elimu ya kutosha kuhusu hivi vitambulisho, au wanasubiri wauze kwanza ndio waje na elimu ya ufafanuzi kuhusu hivyo vitambulisho.?
Kweli kabisa...maana wamevitoa siku chache baada ya raisi kuvitoa wakati hata elimu yake hawajatoa
Mfano halisi kuna watu nimekutana nao wanasema wakivipata basi leseni wanaacha kulipia...nikasema Mungu wangu
 
Serikali inaona ikitoa ufafanuzi Kabla havijaisha biashara itadoda, sasa ngoja kwanza watu wapapatikie kwanza ndio ufafanuzi uanze kutolewa.
Kweli kabisa...maana wamevitoa siku chache baada ya raisi kuvitoa wakati hata elimu yake hawajatoa
Mfano halisi kuna watu nimekutana nao wanasema wakivipata basi leseni wanaacha kulipia...nikasema Mungu wangu
 
Katìka hìí nchi ujinga ni mtaji wa wàtawala na mbaya zaidī weńye mamlaka hawàna mpango wa kufuta ujinga
Hahaha unanifanya nicheke, kunajamaa anaogopa sana wanausalama yeye anawaona kila sehemu, aliniambia eti usidhani watanzania woote ni wajinga, wengine ni mashushushu a.k.a usalama wa taifa, nikamuuluza unamaanisha wanajifanya wajinga ili iweje?! Maana sisi tunaona wote wajinga hata wanaojifanya wajinga kwa makusudi, eti pia sio kila umuonaye hospitali ni mgonjwa. Akadai kuna wengine ni usalama wako tu humo hospitali. Sasa vunja mbavu, eti hata maiti mortuary kunazingine zina spy tu kule.
Nikasema kweli sisi wajinga sana.
 
Kuna wengine walianza kuvipata aiku ya pili yake tu, sasa nikawa najiuliza hawa wanaovipata wanapata na maelezo sahihi na ya kina kuhusu hivi vitambulisho
 
Bila shaka hali zenu ni njema wakati tunaianza weekend

Nije kwenye mada
Wakati leo niko maeneo fulani jijini Dar es salaam kuna gari limepita likitangaza kwa wafanyabiashara ndogo waende sehemu iliyopangwa ili wajiandikishe na kupata hivyo vitambulisho.

Kwakuwa nilikuwa sijaviona kwa macho yangu nikasema ngoja niangalie hili picha mpaka mwisho .
Baada ya muda fulani naona watu wanarudi meno yote nje baada ya kuvipata(wanalipia 20000)

Mimi nikasema ngoja nifanye research kidogo ili nijue wanafa27nya biaahara gani....haaaa hapa nimecheka wawili kati ya watano niliowauliza wanafanya biashara kwenye soko (wana vimeza vidogo kwenye soko) kwahiyo wanasema ushuru na kodi nyingine bye bye, wale wengine mmoja ana stationary na wawili wanauza urembo wanatembeza.
Lakini vile vitambulisho vina alama au chapa ya TRA sasa nikasema kweli hawa wanaelewa hata maana yake au wamechukua tu kwa mkumbo.
Lakini yote kwa yote Sirikali tayari imeingiza hela 20000 sio ndogo na ukizingatia watu wa aina hii wengi na baadhi ya kodi au ushuru wa halmashauri utaendelea kuwa palepale.

Papushikashi.
Hivi vitamburisho vitaleta timbwili nchini
 
Rais alisema mwenye kitambulisho hasisumbuliwe na TRA wala halimashauri halafu wewe leo unasema watasumbuliwa na halimashauri kwa ushuru.
Ina maana haukumuelewa Rais?
Au umeandika kujifurahisha na kuwafurahisha wapumbavu wenye chuki na taifa lao?
Au umeamua tu kuwa mpumbavu bora wa mwezi?
Swali la mwisho, unajua maana ya maajabu?
Mwambie mwalimu mkuu akurudishie karo yako since you got nothing in your schooling.
 
Uko sahihi kabisa.
Rais alisema mwenye kitambulisho hasisumbuliwe na TRA wala halimashauri halafu wewe leo unasema watasumbuliwa na halimashauri kwa ushuru.
Ina maana haukumuelewa Rais?
Au umeandika kujifurahisha na kuwafurahisha wapumbavu wenye chuki na taifa lao?
Au umeamua tu kuwa mpumbavu bora wa mwezi?
Swali la mwisho, unajua maana ya maajabu?
Mwambie mwalimu mkuu akurudishie karo yako since you got nothing in your schooling.
 
Hahaha unanifanya nicheke, kunajamaa anaogopa sana wanausalama yeye anawaona kila sehemu, aliniambia eti usidhani watanzania woote ni wajinga, wengine ni mashushushu a.k.a usalama wa taifa, nikamuuluza unamaanisha wanajifanya wajinga ili iweje?! Maana sisi tunaona wote wajinga hata wanaojifanya wajinga kwa makusudi, eti pia sio kila umuonaye hospitali ni mgonjwa. Akadai kuna wengine ni usalama wako tu humo hospitali. Sasa vunja mbavu, eti hata maiti mortuary kunazingine zina spy tu kule.
Nikasema kweli sisi wajinga sana.
Huwezi hamini tumefika huku maana kuna mmoja alikuwa anajaribu kuongelea suala hili kwa maswali fikirishi
Mfano akasema kuna uwezekano serikali ikawa inafanya hivi hili kupata pesa ya chapu..mara ghafla jamaa mmoja akamwambia aache kuongea suala hili.
Mimi nikajiuiliza huyu yawezekana ni usalama au ni raia tu kaamua kumpa taadhari kutokana na hali hlaisi?
 
Rais alisema mwenye kitambulisho hasisumbuliwe na TRA wala halimashauri halafu wewe leo unasema watasumbuliwa na halimashauri kwa ushuru.
Ina maana haukumuelewa Rais?
Au umeandika kujifurahisha na kuwafurahisha wapumbavu wenye chuki na taifa lao?
Au umeamua tu kuwa mpumbavu bora wa mwezi?
Swali la mwisho, unajua maana ya maajabu?
Mwambie mwalimu mkuu akurudishie karo yako since you got nothing in your schooling.
Inawezekana mimi nikawa mpumbavu kama ulivyoniita lakini unajua asilimia kubwa wafanyabiasha wengi wanaolipa kodi na leseni ni wafanyabiashara wa mitaji ya kawaida? Mfano kuna watu wa stationary wana mitaji chini ya 4m vp hawa wote wasipolipia leseni halmashauri zitapata wapi pesa ? Na vipi ushuru wa Masoko na minada halmashauri wakiacha kuchukua watajiendesha vp?
Pamoja na kwamba umeniita mpumbavu lakini kuna siku utakuja kuniambia au serikali kubadilisha matumizi ya vitambulisho hivi.
Asante
 
Inawezekana mimi nikawa mpumbavu kama ulivyoniita lakini unajua asilimia kubwa wafanyabiasha wengi wanaolipa kodi na leseni ni wafanyabiashara wa mitaji ya kawaida? Mfano kuna watu wa stationary wana mitaji chini ya 4m vp hawa wote wasipolipia leseni halmashauri zitapata wapi pesa ? Na vipi ushuru wa Masoko na minada halmashauri wakiacha kuchukua watajiendesha vp?
Pamoja na kwamba umeniita mpumbavu lakini kuna siku utakuja kuniambia au serikali kubadilisha matumizi ya vitambulisho hivi.
Asante
Na Mimi naamini hivyo hivyo lazima watakuja na ufafanuzi tu, tuombe uhai, tuendelee kusubiri.
 
Back
Top Bottom