Msaada: Hii dawa kazi yake nini?

Papushikashi

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
10,697
12,762
Habari za jion, kuna demu fulani nimeona anatumia vidonge hivi sijaelewa ni vya nini.

Kwa yeyote anayeelewa tafadhari msaada
IMG_20190105_225039.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
izo fungasihuon apo fungicidal


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu inawezekana tatizo ni lugha. Mbona picha uliyopiga hapo juu ina maelezo yote ?
Kwa kifupi ni dawa ya Fungus(nafikiri ni mba kwa kiswahili) Hiyo ni maalum kwa maambukizi ya fungus yanayotokea ukeni. Hivyo vidonge vinasokomezwa huko ukeni kutibu hilo tatizo. Nafikiri nimesaidia.
 
Mkuu inawezekana tatizo ni lugha. Mbona picha uliyopiga hapo juu ina maelezo yote ?
Kwa kifupi ni dawa ya Fungus(nafikiri ni mba kwa kiswahili) Hiyo ni maalum kwa maambukizi ya fungus yanayotokea ukeni. Hivyo vidonge vinasokomezwa huko ukeni kutibu hilo tatizo. Nafikiri nimesaidia.
Nashukuru maana nimepiga picha kiwiz wizi bila kusoma, lakini si ni magonjwa ya ngono ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni ARV`s hizi,kimbia bila kugeuka nyuma,usije ukageuka jiwe la chumvi...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom