Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Yaani toka tumeanza safari kuna mtu anajamba ushuzi unanuka balaa na daladala imejaa mno na safari bado ndefu nimevumilia nimeshindwa nimeamua kusema wazi kwenye daladala na watu wengine wamedakia lakini hali bado ni mbaya
Dah! Hizi daladala hizi zina karaa wakati mwingine
Dah! Hizi daladala hizi zina karaa wakati mwingine