Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,539
- 14,283
Leo demu kaja gheto , ila bahati mbaya yupo kwenye danger period
Sasa nikasema ngoja niende pharmacy kununua ndomu....yaani huwezi amini nimezunguka maduka kama matano duka la sita nikakuta zipo za Rough rider bei ni 3000, kiukweli roho imeniuma kutoa hela yote hii maana nimezoea zile za 500.
Hili tatizo ni huku au na huko kuna uhaba kama huku?
Kazi tunayo kwakweli mwaka huu
Sasa nikasema ngoja niende pharmacy kununua ndomu....yaani huwezi amini nimezunguka maduka kama matano duka la sita nikakuta zipo za Rough rider bei ni 3000, kiukweli roho imeniuma kutoa hela yote hii maana nimezoea zile za 500.
Hili tatizo ni huku au na huko kuna uhaba kama huku?
Kazi tunayo kwakweli mwaka huu