Nimemtongoza demu wiki moja tu kaenda kuwatangazia ndugu zake kapata mchumba

Papushikashi

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
10,708
12,790
Wadau salaam
Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini nilivyompigia simu huyo ndio anakuja kuniambia kuwa mama yake na ndugu zake wote kawaambia.
Kwakweli nimeshikwa na butwaa na nikajawa na hasira maana hata kama mtu una lengo la kumuoa sidhani kama inaweza kuwa haraka kiasi hiki.
Wadau hii imekaaje ni sahihi au sio sahihi?
Karibu
 
Kimbia mbio nyingi sana bro, tena usigeuke nyuma hata ukipigiwa miruzi na kelele (Ukiskia hio miruzi na kelele we fikiria jamaa wanakushangilia uzidi kukimbia spidi zaid).

Wa hivi ndio wale ukiwaoa, unaoa pamoja na SHIDA ZOTE ZA UKOO MZIMA, SHIDA ZA MJOMBA, SHIDA ZA BIBI KIJIJINI , SHIDA ZA SHEMEJI ZAKO, SHIDA ZA "Si yule ndugu yetu aliekua anakuja kukusalimia kijijini, tulivyoenda kutembea kwa babu? Hivi umemsahau kweli diaa?"
 
Wadau salaam
Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini nilivyompigia simu huyo ndio anakuja kuniambia kuwa mama yake na ndugu zake wote kawaambia.
Kwakweli nimeshikwa na butwaa na nikajawa na hasira maana hata kama mtu una lengo la kumuoa sidhani kama inaweza kuwa haraka kiasi hiki.
Wadau hii imekaaje ni sahihi au sio sahihi?
Karibu
Kama humtaki mwambie kwamba ulikuwa unamtongoza kwa niaba ya rafiki yako, na kwamba kama amekubali utiunganishe, then unipe mawasiliano yake!!!
 
Wadau salaam
Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini nilivyompigia simu huyo ndio anakuja kuniambia kuwa mama yake na ndugu zake wote kawaambia.
Kwakweli nimeshikwa na butwaa na nikajawa na hasira maana hata kama mtu una lengo la kumuoa sidhani kama inaweza kuwa haraka kiasi hiki.
Wadau hii imekaaje ni sahihi au sio sahihi?
Karibu
:):):):):):) ULITAKA HADI UMGEGEDE KIMYAKIMYA KWANZA. BORA KASEMA ILI KAMA ULITAKA KUMCHEZEA UKIMBIE, BADO BABA YAKE NA KAKA ZAKE WALE MABAUNSA.
 
Wadau salaam
Kama kichwa kinavyijieleza hapo juu ,kuna mdada nimemtongoza kama wiki moja iliyopita, lakini ajabu ni kuwa bila kuniambia kinachoendelea leo nashangaa naitwa na mama yake eti amefurahi mimi kuwa mkwe wake......kwakweli nimepigwa na butwaa maana nimebaki nacheka cheka tu lakini nilivyompigia simu huyo ndio anakuja kuniambia kuwa mama yake na ndugu zake wote kawaambia.
Kwakweli nimeshikwa na butwaa na nikajawa na hasira maana hata kama mtu una lengo la kumuoa sidhani kama inaweza kuwa haraka kiasi hiki.
Wadau hii imekaaje ni sahihi au sio sahihi?
Karibu
oa mzee baba acha fiksi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom