Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Kama mnaovyoona Mungu akijalia nataka na mm nikaanze kibanda changu.
Ni sehemu gani mnanishauri nifanyie maboresho kama sehemu ya toilet ni sahihi, master nk..
Karibuni kwa ushauri
Ni sehemu gani mnanishauri nifanyie maboresho kama sehemu ya toilet ni sahihi, master nk..
Karibuni kwa ushauri