Bila shaka mfungo wa leo imekamilika salama yaani kwa Resma na mwezi mtukufu wa Ramadhani.Nisiwachoshe sana wakuu,mawazo yenu ni muhimu hapa kati ALPHARD na BREVIS kwa sifa ya
1.ubora wa injini
2.matumizi. ya mafuta
3.upatikanaji wa vipuli
4.lipi linastahimili mazingira ya vijijini zaidi
Kwa...
Salamu kwenu wanajukwaaa...Mrs wangu anatumia simu aina ya techno S³ tangu juzi inaandika huo ujumbe hapo juu,nimejaribu kufuta vitu alivyopakua karibu vyote lakini bado huo ujumbe bado unakuja.msaada kwenu wanajukwaa
Natanguliza shukrani kwenu
Amani na izidi kutawala mioyo yenu wana jukwaa,
Tafadhalini, kuna jamaa yangu anasimu tecno y3 sasa imekorofisha haifungui Internet, japo alama zinazoonesha uwepo wa internet kama vile E,3G na H+, zinapotokea huwa kushoto kabisa mwa simu. Msaada wenu Tafadhali
Natanguliza shukrani kwenu
CC...
wanajf,bila shaka hamjambo,
Nimepokea taarifa kutoka kwa mtu wangu wa karibu kutoka huko.
Chanzo cha vurugu ni kutokana na askari mmoja aitwaye Kabasa,kutembea na mke wa mpiga debe wa stendi ya mlangali aitwaye Heri,wakati mme wa dada huyo akiwa hayupo nyumbani,mke alienda kulala kwa polisi...
Pc yangu ambayo ni mini aina ya asus inatatizo ambalo linajitokeza pindi unapotaka kusoma thread inaleta ujumbe kuwa'done-but with errors on page' je nifanyeje wakuu/nirekebishe kitu gani
Bila shaka hamjambo wanajamvi wote,kwa wale ambao wanaumwa nawaombea afya njema kwa Mungu.
Ndugu zanguni wanajamvi nilifiwa juzi 15/01/2014,na mtoto wangu ambaye alifariki muda mfupi baada ya kuzaliwa,tumemzika 16/01/2014.
Innalillah wainna illah rajjiun
Bila shaka hamjambo wadau wa jf,simu yangu inagoma kudanload sijajua nimefunga kitu gani mwanzoni ilikuwa inadanload vizuri tu,simu yangu ni nokia
naombe msaada huyo nifanye je,natanguliza shukrani kwenu.
Wanajamvi wote nianze kwa kuwatakia afya njema.
Wachezaji hawa walikuwa gunzo sana na huenda ndio waliokupelekea ushabikie timu unayoishabikia hadi leo,japo wengine huuenda wametangulia mbele ya haki (mungu awarehemu)nawengine wapo hai mungu awape wepesi katika maisha yao.Wachezaji hawa ni...
Niwatakie sikukuu njema wanajamvi wote.
Ingawa leo ni siku ya furaha na shamrashamra kwa walio wengi, kule mbeya katika mji wa kyela mambo sio shwari baada ya waumini kupigana visu msikitini na kujeruhiana vibaya.
Tukio limetokea kyela mjini na nimepigiwa simu na rafiki yangu aliopo kyela...
Napenda kwanza kuwasalimu ndg zangu wa jf kila mmoja kwa imani yake.
Hawa nmb wanahuduma kadhaa wa kadhaa kwa ajili ya wateja wao ila leo naomba nizungumzie hii huduma ya nmb mobile.Wizi walioweka ni wa kificho mno na uko hivi;
Mara tu unapopiga ile namba ya ya huduma(*150*66#)wanakata hela...
Natumaini hajambo wote!
Kuna kituo cha redio pale Njombe ambacho kinafahamika kama uplandsfm kimekuwa kinatuma sms kwenye simu yangu kwa siku ya tatu sasa na kukata tsh 130,kupitia namba 1556,
kila sms ikiingia inakuwa na jina la kituo tajwa hapo juu.zoe hili kwangu limeanza mwishoni mwa mwezi...
Hii kitu inachosha sana unakuta baadhi ya watu wameanzisha mtandao wao kwa ajili ya kutoa taarifa mbalimbali kwa uma lakini unachokutana nacho kinatia hasira unakuta habari ambazo ni za mwezi wa sita 2012 au disemba hamna taarifa ambayo ni mpya hata moja hivi kwani ni fasheni kuwa na hiyo...
Leo mmekuwa siku ya furaha kwa wanachama wa chama cha CHADEMA kwa kuapishwa kwa diwani wa kata ya Mlangali wilayani Ludewa mkoa wa Njombe mheshimiwa Faraja Mlelwa,shughuli iliyofanyika saa5 kamili hadi saa 5:20,
Jembe hilo limeahidi kufanya kazi kwa kufuata misingi ya chama(chadema)na kuwaomba...
Kichwa huwa kina kiuma kwa chama nikipendacho kuwa na maamuzi juu ya maamuzi ya waamuzi,naomba mnielewe hivi kuna Madiwani wa CHADEMA karibu kila wilaya ya Tanzania bara na huwa kuna vikao vya madiwani ambavyo huamua ni mambo gani yapitushwe kwenye ki/vikao vyao sas kwanini bara baada ya baadhhi...
Juzi wakati anafunga rasmi suala la uchaguzi wa CCM kwa wanawake raisi wa tanzania alitamka kukerwa na ununuaji wa kura ama waweza ita rushwa iliyogubika mwenendo mzima wa uchaguzi huo,kama katika kada nyingine watuhumiwa huwa wanasimamishwa kupisha uchunguzi katika hili ameshindwa je yeye kama...
Nina rafiki yangu ambye ana mchumba wake aliye ishi naye kwa zaidi ya miaka mitatu,akiwa anafahamika kwa wazazi wa msichana kwani ametoa posa na kujitambulisha pia.mwezi huu msichana huyo alifumaniwa usiku akiwa nyumbani kwa mwanaume mwingine,je nini kinaweza fanyika kwa misingi ya sheria...
Juzi ijumaa ni meshangazwa na wanaccm kwa ulitoke msiba wa mmoja wa wanachama ambaye hana cheo chochote ktk chama lakini cha ajabu alizikwa kwa kutumia BENDERA ya chama.
je chama kimechoka hivyo kutoa hesima kwa kila mmoja?
je fikira na uamuzi wa chama|wanaccm ni mgando?
je chama hakina washauri...
WanaJFnaomba mnitoe katika utata wa maneno haya mawili.kwenye tukio la mlipuko wa mabomu pale Gongo la mboto baadhi ya vyombo vya habari hutumia maneno haya:
A: WAHANGA wa mabomu
B: WAATHIRIKA wa mabomu
je neno lipi ni sahihi kutumika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.