bysange
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 4,456
- 1,563
Leo mmekuwa siku ya furaha kwa wanachama wa chama cha CHADEMA kwa kuapishwa kwa diwani wa kata ya Mlangali wilayani Ludewa mkoa wa Njombe mheshimiwa Faraja Mlelwa,shughuli iliyofanyika saa5 kamili hadi saa 5:20,
Jembe hilo limeahidi kufanya kazi kwa kufuata misingi ya chama(chadema)na kuwaomba vyama vingine kuweka uchama pembeni na kuleta maendelo kwa wapoiga kura wao.
Kazi njema mhe diwani ya Faraja Mlelwa.sipo eneo la tukio ningeweka picha
Chanzo best fm radio ludewa.
Jembe hilo limeahidi kufanya kazi kwa kufuata misingi ya chama(chadema)na kuwaomba vyama vingine kuweka uchama pembeni na kuleta maendelo kwa wapoiga kura wao.
Kazi njema mhe diwani ya Faraja Mlelwa.sipo eneo la tukio ningeweka picha
Chanzo best fm radio ludewa.