bysange
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 4,456
- 1,563
Amani na izidi kutawala mioyo yenu wana jukwaa,
Tafadhalini, kuna jamaa yangu anasimu tecno y3 sasa imekorofisha haifungui Internet, japo alama zinazoonesha uwepo wa internet kama vile E,3G na H+, zinapotokea huwa kushoto kabisa mwa simu. Msaada wenu Tafadhali
Natanguliza shukrani kwenu
CC CHIEF MKWAWA na wengineo
Tafadhalini, kuna jamaa yangu anasimu tecno y3 sasa imekorofisha haifungui Internet, japo alama zinazoonesha uwepo wa internet kama vile E,3G na H+, zinapotokea huwa kushoto kabisa mwa simu. Msaada wenu Tafadhali
Natanguliza shukrani kwenu
CC CHIEF MKWAWA na wengineo