Mashekhe wachomana visu leo huko kyela

Status
Not open for further replies.

bysange

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
4,456
1,563
Niwatakie sikukuu njema wanajamvi wote.
Ingawa leo ni siku ya furaha na shamrashamra kwa walio wengi, kule mbeya katika mji wa kyela mambo sio shwari baada ya waumini kupigana visu msikitini na kujeruhiana vibaya.
Tukio limetokea kyela mjini na nimepigiwa simu na rafiki yangu aliopo kyela.
Sababu ni baada ya shekhe aliyebainika kuwa ametenda maaswi/madhambi ndani ya mfungo asisalishe sala ya idd.
Hivi hii hali tutafika kweli.
Mlioko kyela tujuzeni zaidi hali ilivyo sasa.
 
Maasi yapi tena wakati wa Mfungo wa Ramadhani? mbona wana swali swala 5 na Taraweh si huwa zinafuta dhambi zote? maana wao huwa hawamwendei mtu Binadamu kumuomba awasamehe. Wakiswali tu hufutika kila kitu.
Mm naona labda aliasi kwenda kwa wale wa Mujahidina waliosali jana (Answar Sunna) asubuhi karudi kwao
Hebu tuhabarisheni wa huko Kyela.
 
Kwani waliomshambulia huyo Sheick ni wasafi kiasi gani? Watanzania tumefika pabaya. Tunaishi kimaigizo zaidi, Dini tunazitumia kama fasheni fulani na kujiona wema kuliko wengine.

Katika dunia ya sasa huwezi kumaliza siku nzima kama uja interact na dhambi. Aliye mkamilifu ni Mungu tuu na Hapa duniani twaishi kwa neema tuu. Angeamua kumuumbua kila mtu kwa maasi anayoyafanya iwe hadharani au kwa kificho mbona hapangetosha? Lakini ameamua kwa uendo wake kutuacha mpaka siku ya fainali ili ukipata muda wa kutubu utubu na usamehewe.

Katika kila dini kuna watu wanajifanya ni wema zaidi ya wengine lakini ukiwachunguza kwa makini bora ya wale wasiokanyaga msikitini au kanisani,
 
Wanajifanya kuijua imani kuliko hata Waarabu wenye mtume wao!!
Mtamalizana buure waafrika,Hakuna Dini yoyote yenye mtume mweusi, dini hizi si kwa ajili yetu waAfrika.
 
kumbe hadi visu vinaruhusiwa Msikitini?
Balaa kweli..sasa Ponda anapokataa ulinzi Misikitini si watamalizana asee?
 
Niwatakie sikukuu njema wanajamvi wote. Ingawa leo ni siku ya furaha na shamrashamra kwa walio wengi, kule mbeya katika mji wa kyela mambo sio shwari baada ya waumini kupigana visu msikitini na kujeruhiana vibaya. Tukio limetokea kyela mjini na nimepigiwa simu na rafiki yangu aliopo kyela. Sababu ni baada ya shekhe aliyebainika kuwa ametenda maaswi/madhambi ndani ya mfungo asisalishe sala ya idd. Hivi hii hali tutafika kweli. Mlioko kyela tujuzeni zaidi hali ilivyo sasa.
kwani visu vinaruhusiwa msikitini?
 
hawa jamaa zetu bana akhaa! sasa mapanga na visu na msikitini inakaaje hapo? ndo yale mkisemwa mnaanza kubisha ila haya mambo ndo yanayowachafua sana.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom