WanaJFnaomba mnitoe katika utata wa maneno haya mawili.kwenye tukio la mlipuko wa mabomu pale Gongo la mboto baadhi ya vyombo vya habari hutumia maneno haya:
A: WAHANGA wa mabomu
B: WAATHIRIKA wa mabomu
je neno lipi ni sahihi kutumika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.