Got Rebecca Gyumi Mjumbe akiongea na waandishi wa habari na kutoka msimamo huo wa kundi linalotetea haki za wanawake na watoto dhidi ukatila anasema "Sisi kama tapo la utetezi wa haki za wanawake na watoto nchini Tanzania, tumeshtushwa na pendekezo lililotolewa la kujumuisha wanaume,
kama kundi...
Kupitia Clouds FM Polisi jijini DSM wamethibitisha kuwa katibu wa kanisa la Masanja amefariki kwa kujinyonga kwa uchunguzi wa awali.
Kamanda anasema ni kweli siku moja kabla ya kifo cha Katibu, mke wa Masanja alienda nyumbani kwa Katibu akiwa na mama mtu mzima kumwambia hataki uhusiano naye na...
Uongozi wa Kagera Sugar umetangaza unataka dau la milioni 200 kama ada ya uamisho ya mchezaji wao kwenda Simba SC.
Iko hivi...
Simba waliweka dau la milioni 35 kwa Kagera Sugar kuvunja mkataba wa mwaka 1 uliosalia wa Yusuf Mhilu uku Kagera Sugar wakitaka milioni 50 wakiwa bado kwenye mazungumzo...
Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza bungeni alipokuwa akiwaonya wabunge kutoleta taarifa za kutambulishwa bungeni waume au wake za watu wakidai ni waume au wake zao, alipokuwa akiongoza kikao cha bunge la bajeti, jijini Dodoma leo.
Ndugai amesema amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi...
Mwanamama mrembo na mjasiliamali Zari the Bosslady aliyezaa watoto 2 na Diamond Platnumz amemlipua mzazi huyo mwenzie baada ya kutangaza kulipia makazi kata 500 wakati hajua watoto wake wamekula Nini wala wamelala vipi.
Zari anamwambia Diamond huwezi furahisha dunia wakati wakwako hawana furaha...
Mrembo maarufu mtandaoni Sanchword amebadili dini na kuwa muislam rasmi na kuitwa Surraiya Evarist Rimoy. Sanchi binti wa kichaga mwenye shepu matata amekuwa akifunga ramadhani wakati bado hajaingia kwenye uislam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Klabu ya Yanga ikifanya kazi karibu na mdhamini wake GSM imemtangaza kocha Luc Eymail kuwa kucha mkuu atakaechukua mikoba ya mwinyi Zahera
Luc anauzoefu na soka la Africa na akiwa ametwaa mataji kadhaaa na vilabu tofauti.
Ametwaa ubingwa akiwa na AS Vita ya DRC Congo
Kocha huyo atatua Saa 8:30...
Mtangazaji maarufu wa East Africa redio, Zembwela amejiunga rasmi Leo na Wasafi FM
Ameungana na Maulid Kitenge katika kipindi cha Magazetini wakichambua wote habari hizo
Harmonize amekuwa msanii pekee mwaka huu kutokana East Africa kuchaguliwa kuwania tuzo za MTV EMA katika kipengele Cha Best African Act akichuna na wakali Kama Barnaboy na Nasty C
Unaweza kumpigia kura Harmonize kupitia
Kutipia www.mtvema.com
Huku uongozi wa WCB kupitia Said Fella ukisisitiza hautabembeleza Harmonize kutumbuiza Wasafi festival na Kama Harmonize anataka kuondoka aage kwa amani.
Harmonize amekuwa akionekana na boss wake mpya Jembe Ni Jembe wakipanga mikakati mbalimbali
Beki wa Manchester United Eric Baily na Ivory Coast ameamua kurudi kijijini kwao Guiglo Mara baada ya majeraha kumuandama Mara kwa Mara na kwenda kujitibu huko.
Baily ama miaka mingi hajarudi kijijini huko tangu alipofanikiwa kuwa mchezaji wa kimataifa na maarufu
Bilionea Rostam Aziz kupitia kampuni yake ya Taifa Gas ameingia kuidhamini klabu ya Yanga.
Kampuni hiyo inatarajiwa kutangazwa Leo kwenye sherehe za kilele Cha wiki ya wananchi itakayofanyika uwanja wa Taifa
Taifa Gas itakuwa kwenye mikoni ya jezi za Yanga
Watanzania wadau wa muziki wameanza movement kutengeneza awareness ili Beyonce ajue watu wake wamempotosha baada ya kukosekana mwakilishi kwenye album ya Lion King Huku akijaza wasanii wengi wa Africa magharibi
Kuelekea kufuzu AFCON 2021 yatakayofanyika nchini Cameroon, Tanzania imepangwa na Waarabu 2 Tunisia na Libya pamoja na Equatorial Guinea
Kumbuka Ni timu 2 za juu tu zinafuzu kwenda AFCON 2021 Kila kundi.
Tunisia
======
Shirikisho la Soka Barani Afrika limetangaza makundi kwa ajili ya kufuzu...
Kitendo Cha Beyonce kuzindua Album yake mpya ya Lion King Huku akiwashirikisha wasanii wakali wa Africa Huku akiwatosa wasanii wa East Africa Ni kilelezo tosha kwamba East Africa Bado hatuna International artist wa kweli wenye nguvu.
Wasanii Kama Diamond platinum , alikiba na Eddy Kenzo Huku...
Klabu ya Yanga Leo imetangaza kuwa kampuni ya GSM imeshinda tenda ya kuzalisha na kusambaza vifaa ya Yanga kuanzia jezi rasmi ,za mazoezi, skafu na tracksuit.
Swali la msingi Ni je GSm wamewahi kuzalisha jezi na vifaa vya michezo?
Wengi tunajua GSM Wana maduka makubwa ya nguo za kawaida.
Au ndo...
Alikuwa mchezaji wa Azam FC Ramadhani Singano maarufu Kama Messi amesajili na TP Mazembe ya Congo.
Mazembe wanaamini Sinagano ana kipaji kikubwa na chini ya uangalizi wa na malezi anaweza kuwasaidia.
Kila la kheri kijana kajitume uje kuokoa Taifa stars
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.