brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Kuelekea kufuzu AFCON 2021 yatakayofanyika nchini Cameroon, Tanzania imepangwa na Waarabu 2 Tunisia na Libya pamoja na Equatorial Guinea
Kumbuka Ni timu 2 za juu tu zinafuzu kwenda AFCON 2021 Kila kundi.
Tunisia
======
Shirikisho la Soka Barani Afrika limetangaza makundi kwa ajili ya kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika kwa mwaka 2021 yatakayofanyika nchini Cameroon
Katika Kundi A zipo timu za Mali, Guinea, Namibia na mshindi katika mechi za awali kati ya Liberia na Chad huku katika Kundi B zipo timu za Burkina Faso, Uganda, Malawi na mshindi katika mechi za awali kati ya South Sudan na Seychelles
Kundi C zipo timu za Ghana, South Africa, Sudan na mshindi kati ya Mauritius na Sao Tome na katika Kundi D zipo timu za DR Congo, Gabon, Angola na mshindi kati ya Djibouti na Gambia
Kundi E kuna Morocco, Mauritania, Central Africa na Burundi huku Kundi F zikiwepo Cameroon, Cape Verde, Mozambique na Rwanda; Kundi G linabeba Egypt, Kenya, Togo na Comoros Islands
Kundi H zipo Algeria, Zambia, Zimbabwe na Botswana; Kundi I zipo Senegal, Congo, Guinea-Bissau, Eswatini; Kundi J zipo Tunisia, Libya, Tanzania na Equatorial Guinea na katika Kundi K zipo Côte d'Ivoire, Niger, Madagascar, Ethiopia huku kundi la mwisho la Kundi L likiwa na Nigeria, Benin, Sierra Leone na Lesotho
Kumbuka Ni timu 2 za juu tu zinafuzu kwenda AFCON 2021 Kila kundi.
Tunisia
======
Shirikisho la Soka Barani Afrika limetangaza makundi kwa ajili ya kufuzu kushiriki michuano ya Mataifa ya Afrika kwa mwaka 2021 yatakayofanyika nchini Cameroon
Katika Kundi A zipo timu za Mali, Guinea, Namibia na mshindi katika mechi za awali kati ya Liberia na Chad huku katika Kundi B zipo timu za Burkina Faso, Uganda, Malawi na mshindi katika mechi za awali kati ya South Sudan na Seychelles
Kundi C zipo timu za Ghana, South Africa, Sudan na mshindi kati ya Mauritius na Sao Tome na katika Kundi D zipo timu za DR Congo, Gabon, Angola na mshindi kati ya Djibouti na Gambia
Kundi E kuna Morocco, Mauritania, Central Africa na Burundi huku Kundi F zikiwepo Cameroon, Cape Verde, Mozambique na Rwanda; Kundi G linabeba Egypt, Kenya, Togo na Comoros Islands
Kundi H zipo Algeria, Zambia, Zimbabwe na Botswana; Kundi I zipo Senegal, Congo, Guinea-Bissau, Eswatini; Kundi J zipo Tunisia, Libya, Tanzania na Equatorial Guinea na katika Kundi K zipo Côte d'Ivoire, Niger, Madagascar, Ethiopia huku kundi la mwisho la Kundi L likiwa na Nigeria, Benin, Sierra Leone na Lesotho