yale yale ya kutafuta shuka asubuhi wakati kumeshakucha. tumeshachelewa.
duuuhwhy na sisi hatutengenezi ya kwetu kama chanzo cha hii ni Tanzania ?why umpangie mtu jinsi ya kutumia fedha zake?always tumekuwa watu wa kulalamikia tulipoangukia sio kujikwaa,unanikumbusha yaliyokuwa yanatokea pale SA kulalamika eti why actors wanaocheza movie za maisha ya Mandela na Nomzamo sio wazawa!!!,walijibiwa kama wanataka watengeneze movie zao,wakafwata mkia.
hiyoo filamu ilipaswa iwe na picha ya JPM maana ni juhudi za awamu ya Tano.
Ukiangalia hii Movie pale kilima ambacho simba anabebwa juu na yule Nyani ni sehemu ya Serengeti ipo Njiani kama unatokea fort Ikoma.ila sisi tumelala acha tu wapige helaWatanzania wadau wa muziki wameanza movement kutengeneza awareness ili Beyonce ajue watu wake wamempotosha baada ya kukosekana mwakilishi kwenye album ya Lion King Huku akijaza wasanii wengi wa Africa magharibiView attachment 1157027View attachment 1157028View attachment 1157029View attachment 1157030
🙆🙆🙆🙆itakosa sokohiyoo filamu ilipaswa iwe na picha ya JPM maana ni juhudi za awamu ya Tano.
Umevuta chawapi ndugu yanguBila kigodoro humo hiyo movie hatuitambui.
hiyoo filamu ilipaswa iwe na picha ya JPM maana ni juhudi za awamu ya Tano.
Bila kigodoro humo hiyo movie hatuitambui.