brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza bungeni alipokuwa akiwaonya wabunge kutoleta taarifa za kutambulishwa bungeni waume au wake za watu wakidai ni waume au wake zao, alipokuwa akiongoza kikao cha bunge la bajeti, jijini Dodoma leo.
Ndugai amesema amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi wakidai waume zao wametambulishwa bungeni kuwa ni waume wa wabunge.
Ndugai amesema amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi wakidai waume zao wametambulishwa bungeni kuwa ni waume wa wabunge.