brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Alikuwa mchezaji wa Azam FC Ramadhani Singano maarufu Kama Messi amesajili na TP Mazembe ya Congo.
Mazembe wanaamini Sinagano ana kipaji kikubwa na chini ya uangalizi wa na malezi anaweza kuwasaidia.
Kila la kheri kijana kajitume uje kuokoa Taifa stars
Mazembe wanaamini Sinagano ana kipaji kikubwa na chini ya uangalizi wa na malezi anaweza kuwasaidia.
Kila la kheri kijana kajitume uje kuokoa Taifa stars