Wasanii wa East Africa Bado Ni Local Champions, Beyonce awatosa

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,876
7,366
Kitendo Cha Beyonce kuzindua Album yake mpya ya Lion King Huku akiwashirikisha wasanii wakali wa Africa Huku akiwatosa wasanii wa East Africa Ni kilelezo tosha kwamba East Africa Bado hatuna International artist wa kweli wenye nguvu.
Wasanii Kama Diamond platinum , alikiba na Eddy Kenzo Huku kwetu tunawaona wakubwa lakini Bado hawatambuliki. Timebaki kushindana kwenye views na tranding za Youtube, wataki wenzetu wamewekeza kwenye tidal, Spotify na iTunes.
Beyonce kuwatosha Ni dhahiri hawana ushawishi Huku.
Screenshot_20190717-121800~2.jpeg
 
Kwa hiyo wewe ulitaka hawachukue wasanii wote kwa hiyo wewe kipimo Cha msanii wa kimataifa ni kufanya kazi na Beyonce? Kwa maana hiyo Beyonce asipofanya kaz na msanii Fulani Basi huyo msanii si wakimataifa? Alafu nikusahihishe kidogo wasanii wa kimataifa wa east Africa ni ni watano tu ambao ni diamond, harmonize, Vanessa, Victoria kimani pamoja na eddo kenzo.wao wengine unawajua wewe au ujui maana ya msanii wa kimataifa.
 
Kwa hiyo wewe ulitaka hawachukue wasanii wote kwa hiyo wewe kipimo Cha msanii wa kimataifa ni kufanya kazi na Beyonce? Kwa maana hiyo Beyonce asipofanya kaz na msanii Fulani Basi huyo msanii si wakimataifa? Alafu nikusahihishe kidogo wasanii wa kimataifa wa east Africa ni ni watano tu ambao ni diamond, harmonize, Vanessa, Victoria kimani pamoja na eddo kenzo.wao wengine unawajua wewe au ujui maana ya msanii wa kimataifa.
Hao Ni wasanii wa East Africa ebu nitajie hata mmoja hapo alieingiza wimbo chart za Billboard
 
Kwa hiyo wewe ulitaka hawachukue wasanii wote kwa hiyo wewe kipimo Cha msanii wa kimataifa ni kufanya kazi na Beyonce? Kwa maana hiyo Beyonce asipofanya kaz na msanii Fulani Basi huyo msanii si wakimataifa? Alafu nikusahihishe kidogo wasanii wa kimataifa wa east Africa ni ni watano tu ambao ni diamond, harmonize, Vanessa, Victoria kimani pamoja na eddo kenzo.wao wengine unawajua wewe au ujui maana ya msanii wa kimataifa.
Kati ya hao uliotaja na yyte uliemuacha, taja msanii ambae ashwahi fanya kolabo na msanii alie/aliekua na wimbo billboard,iwe wake bnafsi,kushirikshwa au project.
Hao ndo watakua international artist
 
Kuna point fulani ipo kwenye post yako. Inawezekana tunawa-over rate sana wasanii wetu. Mimi huwa namkubali sana Diamond. Na huwa nasikiliza sana nyimbo zake. Video ya 'inama' naipenda sana. Walivyo-dance inafurahisha na kuburudisha sana. Lakini kwenye ile video, Fally Ipupa anaonekana kama 'big fish in a small pond'. Huwa nashindwa kuelewa. Sijui ni jinsi Fally anavyoji-present, au ni body size za wasanii wetu ukilinganisha na wa nje!!. Ingawa kuna 'issue' ya body size kwenye ile video ya 'inama', lakini hata hiyo issue isingekuwepo nahisi Ipupa angeonekana ni wa next level. Huwa simfuatilii sana Fally Ipupa, labda nikiwa kwenye long safari ndio naona video zake kwenye ma-bus yetu. Lakini kwenye 'inama' nimejikuta namuona ni next level compare to msanii wangu Diamond. Inawezekana kuna mahali tunakosea, linapokuja swala la kimataifa nje ya East Africa.
 
Kati ya hao uliotaja na yyte uliemuacha, taja msanii ambae ashwahi fanya kolabo na msanii alie/aliekua na wimbo billboard,iwe wake bnafsi,kushirikshwa au project.
Hao ndo watakua international artist
Ngojea nikupe elimu ya bure kuwa msanii wa kimataifa Kuna levels mbili moja kuwa wa kimataifa kwa ngazi ya kiafrika hapa namaanisha kufanya vizuri Sana kwenye nch za Africa level ya pili kufanya vizuri zaidi nje ya Africa niliyowataja wanafanya vizuri Sana afrika angalia hata show wanazofanya zinajaza na pia wanafanya kwenye maukumbi mfano Kama diamond huu mwaka huu kwa miezi iliyobaki ana show 24 na nyingi Sana ni nchi za Africa lakini kwa maana ya nje ya Africa afanyi vizuri Sana lakini aimuondoi yeye kuitwa msanii wa kimataifa cos anafanya vizuri barani Africa huyo jamaa brave one alichokosea ni kuwalazima hao wasanii wawe level sawa na wasanii wanafanya vizuri Africa na nje ya Africa Kama Wizkid na davido.
 
Kuna point fulani ipo kwenye post yako. Inawezekana tunawa-over rate sana wasanii wetu. Mimi huwa namkubali sana Diamond. Na huwa nasikiliza sana nyimbo zake. Video ya 'inama' naipenda sana. Walivyo-dance inafurahisha na kuburudisha sana. Lakini kwenye ile video, Fally Ipupa anaonekana kama 'big fish in a small pond'. Huwa nashindwa kuelewa. Sijui ni jinsi Fally anavyoji-present, au ni body size za wasanii wetu ukilinganisha na wa nje!!. Ingawa kuna 'issue' ya body size kwenye ile video ya 'inama', lakini hata hiyo issue isingekuwepo nahisi Ipupa angeonekana ni wa next level. Huwa simfuatilii sana Fally Ipupa, labda nikiwa kwenye long safari ndio naona video zake kwenye ma-bus yetu. Lakini kwenye 'inama' nimejikuta namuona ni next level compare to msanii wangu Diamond. Inawezekana kuna mahali tunakosea, linapokuja swala la kimataifa nje ya East Africa.
Alichokosea mtoa mada ni kitu kidogo diamond ni msanii anayefanya vizuri sana Africa lakini Wizkid na davido ni watu wanaofanya vizuri Africa na nje ya Africa ndo maana ni rahisi kwao kufanya kazi na msanii Kama Beyonce hiyo ndio tofauti yao lakini wote Wizkid na diamond ni wasanii wa kimataifa lakini tofauti yao level ya kimataifa mmoja anafanya vizuri Sana kwenye nchi za Africa km sa,Nigeria,Ghana n.k lakini mwingine kaenda mbali zaidi nje ya Africa.
 
Kwa hiyo wewe ulitaka hawachukue wasanii wote kwa hiyo wewe kipimo Cha msanii wa kimataifa ni kufanya kazi na Beyonce? Kwa maana hiyo Beyonce asipofanya kaz na msanii Fulani Basi huyo msanii si wakimataifa? Alafu nikusahihishe kidogo wasanii wa kimataifa wa east Africa ni ni watano tu ambao ni diamond, harmonize, Vanessa, Victoria kimani pamoja na eddo kenzo.wao wengine unawajua wewe au ujui maana ya msanii wa kimataifa.
Navy kenzo na Sauti Sol umewasahau bro
 
Kwa hiyo wewe ulitaka hawachukue wasanii wote kwa hiyo wewe kipimo Cha msanii wa kimataifa ni kufanya kazi na Beyonce? Kwa maana hiyo Beyonce asipofanya kaz na msanii Fulani Basi huyo msanii si wakimataifa? Alafu nikusahihishe kidogo wasanii wa kimataifa wa east Africa ni ni watano tu ambao ni diamond, harmonize, Vanessa, Victoria kimani pamoja na eddo kenzo.wao wengine unawajua wewe au ujui maana ya msanii wa kimataifa.
Hiv bro,,Alikiba Alikufanya nin? Imebidi tu leo nikuulize tu.
 
Mzee baba si mchukii ila Kuna tatizo pia kwenye uelewa wa baadhi ya watu Kuna vigezo ambavyo lazima upime ili kubaini huyu ni msanii wa kimataifa Cha Kwanza show anazofanya mfano mwaka Jana kiba alifanya show kwenye club ya south Africa sijawahi kuona kiba anafanya show kwenye kumbi kubwa nje ya nchi especially nje ya east Africa Hilo tu linamtoa kwenye hadhi hiv nikuulize onaonaga nyimbo za kiba zinapigwa Sana kwenye tv kubwa za Africa? Ukitoa aje ngoma ipi ya kiba imehit Africa? Angalia hata digital platform ya miziki kiba anadownload chache Sana anapitwa hata na harmonize na nandi.Niambie tu show ipi kubwa kiba ameipata mwaka huu nje ya east Africa hata east Africa tu?kwa hiyo huyu msanii nikimwita si wa kimataifa nitakuwa nimekosea au Nina chuki naye?mzee baba nafikiri umepata jibu.
 
We jamaa una lako jambo,msanii afanyi vizuri Itune wakati,nyimbo ya Marry Me Diamond ft Neyo kwa miezi kumi kagonga zaidi 6*platnumz.(180,000 copies,based on South Africa 1 plat=30000 copies),hapo hujaizungumzia nyimbo ya NANA ambayo ilikaa katika chat za MTV base zaidi ya mwezi mmoja na katika nyimbo bora za mwaka 2015 katika chat za MTV ilishika namba tano,hatujazungumzia Number One rmx na OG ,hatujazungumzia Nitampata wapi na sasa hivi Inama ,ambayo inasumbua katika nchi za Africa zinazoongea Kifaransa na leo Mondi ana show Ginea BIsau.
download.jpg



Kwa Africa tukichukua statistics za kuanzia 2010 mpaka leo 2019,Dimond platnumz kimauzo kupitia Digital platforms nina uhakika anapitwa na watu wawili tu Davido na Wizkid tu.

Kuonekana kutooneka na Beyonce hilo nimtizamo wake binafsi Beyonce lkn si kipimo cha Msanii kwenda kimataifa au kipindi kile Kiba anafanya collabo ya R-Kelly ina maana P-SQURE na Dbanji walikuwa sio International kisa hawajafanya Collabo na R-Kelly?.

Alafu wee jamaa vipimo vyako vya ajabu vina badilika kila siku,kuna siku ulisema msanii kuwa international awe anafanya show kwenye majukwaa ya kimataifa na wasanii wa US haya RayVanny na Vanessa wana show mbili moja Essence festival na nyingine Ureno ,lkn sijawahi ukiona ukiwasifia hawa kufika Level hizi naona leo umebadilisha magoli.

essence-festival-2019-line-up-poster.jpg
essence-festival-2019-line-up-poster.jpg


Acha kutumia vipimo shallow kisa kafanya collabo au kutajwa na Beyonce ndio eti International Artist,wakati kuna mama ANGELICA KIDJO hana nyimbo katika chati ya Bilboard lakini amekuwa nominated mara 8 ktk tuzo za Grammy na kachukua tuzo tatu za Grammy Je huyu naye utamweka kundi gani manake nae hajatajwa na Beyonce.

Capture11.PNG


 
We jamaa una lako jambo,msanii afanyi vizuri Itune wakati,nyimbo ya Marry Me Diamond ft Neyo kwa miezi kumi kagonga zaidi 6*platnumz.(180,000 copies,based on South Africa 1 plat=30000 copies).


Kwa Africa tukichukua statistics za kuanzia 2010 mpaka leo 2019,Dimond platnumz kimauzo kupitia Digital platform nina uhakika anapitwa na watu wawili tu Davido na Wizkid tu.

Kuonekana kutooneka na Beyonce hilo nimtizamo wake binafsi Beyonce lkn si kipimo cha Msanii kwenda kimataifa au kipindi kile Kiba anafanya collabo ya R-Kelly ina maana P-SQURE na Dbanji walikuwa sio International kisa hawajafanya Collabo na R-Kelly.

Alafu wee jamaa vipimo vyako vya ajabu vina badilika kila siku,kuna siku ulisema msanii kuwa international awe anafanya show kwenye majukwaa ya kimataifa na wasanii wa US haya RayVanny na Vanessa wana show mbili moja Essence festival ,lkn sijawahi ukiona ukiwasifia hawa kufika Level hizi naona leo umebadilisha magoli.

View attachment 1155993View attachment 1155993

Acha kutumia vipimo shallow kisa kafanya collabo au kutajwa na Beyonce ndio eti International Artist,wakati kuna mama ANGELICA KIDJO hana nyimbo katika chati ya Bilboard lakini amekuwa nominated mara 8 ktk tuzo za Grammy na kachukua tuzo tatu za Grammy Je huyu naye utamweka kundi gani manake nae hajatajwa na Beyonce.

View attachment 1155991

We jamaa unaandikaga facts
 
Back
Top Bottom