brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Klabu ya Yanga Leo imetangaza kuwa kampuni ya GSM imeshinda tenda ya kuzalisha na kusambaza vifaa ya Yanga kuanzia jezi rasmi ,za mazoezi, skafu na tracksuit.
Swali la msingi Ni je GSm wamewahi kuzalisha jezi na vifaa vya michezo?
Wengi tunajua GSM Wana maduka makubwa ya nguo za kawaida.
Au ndo Yanga wamelipa fadhila za zile milioni 300 kwenye harambee?
Swali la msingi Ni je GSm wamewahi kuzalisha jezi na vifaa vya michezo?
Wengi tunajua GSM Wana maduka makubwa ya nguo za kawaida.
Au ndo Yanga wamelipa fadhila za zile milioni 300 kwenye harambee?