Search results

  1. S

    SoC04 Mabadiliko katika upatikanaji wa Spika wa Bunge na Mawaziri

    Spika wa Bunge asichaguliwe kutoka miongoni mwa Wabunge na pamoja na Mawaziri Spika wa Bunge huyu ndie Kiongozi Mkuu wa Bunge, na mfumo uliopo sasa Spika wa Bunge na Naibu Spika wanatoka miongoni mwa Wabunge ndio anakuwa Spika. Tukumbuke kuwa Bunge ni sehemu muhimu kwasababu ndio sehemu...
  2. S

    SoC04 Mfumo wa kutambua wasomi

    Mfumo wa kutambua wasomi wote nchini Katika miaka ijayo serikali chini ya wizara ajira na kazi itengeneze mfumo maalumu wa kutambua wasomi wa kada zote nchini na kwa hatua zote za elimu .mfumo huo utakao tumiwa na wasomi kuweka taarifa zao za elimu. Hii itamuwezesha muwajiri wowote nchini...
  3. S

    SoC04 Mfumo wa upokeaji matukio ya unyaunyasaji wa kijinsia nchini

    MFUMO UTAKAO SAIDIA KURIPOTI MATUKIO YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA NCHINI Kutokana na ongezeko kubwa la matukio ya unyanyasaji wa kijinsia nchini serikali ianzishe mfumo maalumu utakaotumiwa na wananchi kuripoti matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kma vile ubakaji. Matukio hayo kwa siku za...
  4. S

    SoC04 Mabadiliko sekta ya elimu

    Elimu ni ni sekta nyeti katika kila nchi dunian ukitaka kuharibu nchi haribu mfumo wa elimu kivipi kwa sababu ukiaalibu mfumo wa elimu umeshaharibu kila kitu kwa mfano ukialimu mfumo wa elimu ndio chanzo za madaktari wasio uelewa, wahandisi watakao tengeneza miundombinu chini ya kiwango na...
  5. S

    SoC04 Tanzania ijayo ili iwe bora lazima lazima ifanyiwe mabadiliko katika sekta hizi

    Andiko linausu Tanzania tuitakayo Tanzania tuitakayo iwe bora katika mambo yafuatayo ni lazima tuifanyie mabadiliko katika sehemu zifuatazo ambazo ni. Afya: Tanzania kma nchi ni lazima tufanye mabadiliko katika sekta hii ya afya hili tumpunguze adui mkubwa wa umasikini ambaye ni magonjwa...
  6. S

    Natafuta ajira (kazi) ni mwanafunzi wa chuo lakini najisomesha mwenyewe

    Mimi kijana wa miaka 24 nasoma degree mwaka wa kwanza Dar es salaam. Naomba mnisaidie kazi kwa sababu najisomesha mwenyewe. Mimi hata nikipatiwa kazi ya kuingia kwa zamu sawa ila iwepo Dar es Salaam Nitawashukuru sana jamani naomba mnisaidi namb zangu +255 772 525 607 hizo naomba mnisaidie...
  7. S

    SoC04 Nyanja hizi muhimu zifanyiwe maboresho kwa maendeleo endelevu

    AFYA: Tanzania kama nchi ni lazima tufanye mabadiliko katika sekta hii ya afya hili tumpunguze adui mkubwa wa umasikini ambaye ni magonjwa kwenye afya katika miaka mitano ijay, sasa kama nchi tufanye mabadiliko sehemu zifuatazo - Huduma ya Afya ipatikane maeneo yote nchini hata vijijini...
  8. S

    SoC04 Kuandaa mpango kazi mzuri wa kuzuia uchafuzi wa mazingira nchini

    Awali ya yote napenda kuwashukuru jamii forum kwa nafasi hii walio tupatia. Katika miaka mitano mpka ishirini na tano Tanzania mm naona tuandae mpango kazi imara wa kuzuia uchafuzi wa mazingira katika maeneo ya nchi. Nini nikafanyike Serikali iwatumia maafisa maendeleo na askari hasa (trafic)...
  9. S

    SoC04 Katika miaka mitano ijayo Tanzania kufanye mabadiliko katika sekta

    STORY OF CHANGE MSIMU WA NNE (4) Andiko linahusu Tanzania tuitakayo Tanzania tuitakayo iwe bora katika mambo yafuatayo ni lazima tuifanyie mabadiliko katika sehemu zifuatazo ambazo ni; Afya: Tanzania kma nchi ni lazima tufanye mabadiliko katika sekta hii ya afya hili tumpunguze adui mkubwa...
Back
Top Bottom