Saidi malolo
Member
- May 2, 2024
- 16
- 10
MFUMO UTAKAO SAIDIA KURIPOTI MATUKIO YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA NCHINI
Kutokana na ongezeko kubwa la matukio ya unyanyasaji wa kijinsia nchini serikali ianzishe mfumo maalumu utakaotumiwa na wananchi kuripoti matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kma vile ubakaji.
Matukio hayo kwa siku za karibuni yamekuwa yakiongezeka kwa kasi sana kila siku
Na wananchi wanalalamika ya kuna wanapoenda kulalamika hawapewi ushirikiano hivyo uishi kulalamika mdomoni tu . Kutokana hivyo katika miaka ijayo serikali ianzishe mfumo ambao kila raia ataweza,kuripoti matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kwa kufanya mamb yafuatayo
KUANZISHA NAMBA MAALUMU ZA SIMU
Serikali inaweza andaa namba maalumu za simu ambazo zitamwezesha mwananchi kupiga au kutuma ujumbe endapo anapoona au kufanyiwa vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia. Namba zisiwe nyingi sababu ziwe raisi kukalilika na wananchi.
KITENGO MAALUMU CHA KURATIBU MASUALA YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
Baada, kuandaa hizo namba . Kuwepo na kitengo ambacho ndio kitakuwa kinapokea na hayo malalamimo na kufanyia kati kwa wakati na kiwe na ofisi katika kila wilaya au kata nchi nzima hii itasasaidia kupunguza haya matukio na kuondoa kabisa
KUANDAA (application ) maalumu kwa kupokea matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kila mwananch awe anaweza kuipakua kwenye simu yake pale tu anapoona tukio awe anaweza kuwasilisha
VIPIMO VYA UPIMAJI VIPATIKANE KILA SEHEMU NA VISICHUKUE MUDA
Vipimo vya kubaini kama huyu mtu kafanyiwa tendo husika vipatikane kwa haraka na katka mazingira ya kawaida kama na isichukue muda mrefu kutoa majibu hili muhusu aliyefanya awajibishwe kwa wakati
Kutokana na ongezeko kubwa la matukio ya unyanyasaji wa kijinsia nchini serikali ianzishe mfumo maalumu utakaotumiwa na wananchi kuripoti matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kma vile ubakaji.
Matukio hayo kwa siku za karibuni yamekuwa yakiongezeka kwa kasi sana kila siku
Na wananchi wanalalamika ya kuna wanapoenda kulalamika hawapewi ushirikiano hivyo uishi kulalamika mdomoni tu . Kutokana hivyo katika miaka ijayo serikali ianzishe mfumo ambao kila raia ataweza,kuripoti matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kwa kufanya mamb yafuatayo
KUANZISHA NAMBA MAALUMU ZA SIMU
Serikali inaweza andaa namba maalumu za simu ambazo zitamwezesha mwananchi kupiga au kutuma ujumbe endapo anapoona au kufanyiwa vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia. Namba zisiwe nyingi sababu ziwe raisi kukalilika na wananchi.
KITENGO MAALUMU CHA KURATIBU MASUALA YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
Baada, kuandaa hizo namba . Kuwepo na kitengo ambacho ndio kitakuwa kinapokea na hayo malalamimo na kufanyia kati kwa wakati na kiwe na ofisi katika kila wilaya au kata nchi nzima hii itasasaidia kupunguza haya matukio na kuondoa kabisa
KUANDAA (application ) maalumu kwa kupokea matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kila mwananch awe anaweza kuipakua kwenye simu yake pale tu anapoona tukio awe anaweza kuwasilisha
VIPIMO VYA UPIMAJI VIPATIKANE KILA SEHEMU NA VISICHUKUE MUDA
Vipimo vya kubaini kama huyu mtu kafanyiwa tendo husika vipatikane kwa haraka na katka mazingira ya kawaida kama na isichukue muda mrefu kutoa majibu hili muhusu aliyefanya awajibishwe kwa wakati