Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Ndo mara yangu ya kwanza. Sijui natakiwa nivaaje na nibebe nguo gani. Naomben mnisaidie nifanyaje. Kuna special Cruise clothes ? Msaada pls.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari kina dada/mama, Leo napenda niwakumbushe urembo ambao watu wengi huwa inatuwia vigumu sana kuutengeneza kwa mazoez. Najua kuna baadhi yetu tunajua Kua mazoez ya viungo yanakufanya uwe na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau. Naomba kufahamishwa ni wapi ntapata suti za kiume za gharama nafuu kuanzia laki moja kwa Dar es salaam.
1 Reactions
2 Replies
3K Views
.
4 Reactions
56 Replies
8K Views
Naombeni msaada jinsi ya kuzifanya nywele zangu ziwe nyeusi na zilizoshiba. Nimekuwa mtu wa nywele nyepesi na zisizo na afya. Kama unajua mafuta yeyote ya nywele yanayoweza kubadilisha nywele...
0 Reactions
13 Replies
56K Views
Mambo vp wanaume wa Tanzania. Jaman mie ndevu zangu za hapa kidevuni, sharubu Na kweny mashavu natumia MKASI Kuzinyoa.. Hofu ni kuwa threads nyingi humu JF zinazohusu vipele na ndevu naonaga...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naamini ita influence fasheni za dada zetu kwenye maharusi hapa town....it is pretty..
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Naomba mnijuze wajibu wa matron siku ya harusi
1 Reactions
22 Replies
10K Views
Ule mchakato wa vazi la taifa ambao umegharimu mamilioni ya pesa za walipa kodi wanyonge wa nchi hii, mchakato ambao tangu mwanzo wake mimi sikuwahi kuona tija yake zaidi ya kuwapa watu ulaji wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni mafuta yapi mazuri kwa ajili ya nywele na ngozi? Maana zipo vizuri kwa urembo. Mimi ni mwanaume lakini hata yakiwa ya kike poa tu.
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Jamani mwezi ujao nafunga ndoa naomba msaada wapi ntapata hii suit na gauni zuri la harusi mi npo mikoani ntafute kwa namba hii 0766568609 Naomba suggestions zetu na more input jinsi ya...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wanaume wanavaa suti zenye rangi ya blue. Nimeona hivi si harusi moja wala mbili. Ni nyingi sana. Ni fasheni au nini?
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Habari za jioni wana-Jamvi. Wana-Jamvi, nina dada yangu yupo interested na suala zima la ujasiriamali, kaniuliza shughuli ya kufanya ambayo nikaona niwashirikishe Wanajamvi ili kwa mawazo na...
0 Reactions
7 Replies
16K Views
Habarini, wadau kama upo au unamfahamu mwalimu mzuri wa kupamba mabiharusi na kuchora zile piko nzuri za kizanzibari... nielekeze au nipe contact pm. Natanguliza shukran
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu jamani Kama kchwa cha habari kinavyojieleza naomba nipewe rangi nzuri (colour of the year) maana nna shughuli siku zijazo itapendeza zaidi kama ntapata na picha NATANGULIZA SHUKRANI
0 Reactions
11 Replies
14K Views
NATAFUTA ISSEY MIYAKE ,SMART COLLECTION BODY SPRAY AND PERFUMES. Wakuu.. Salaam kwenu. Wanajamvi Nazitafuta sana hizi vitu. Kama unazo ama unajua naeza pata pls ni PM. Aksante.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hahahaha hivi kumbe bado vyuo vyetu vinatoa mamisi, leo ndo atapatikana miss mwenge university moshi, tukachague huyo miss. Ila naona atashinda magreth massawe. Pia form6 karibuni mwenge mwecau...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hawa wadada wa barber shops wanazingua sana! Akikuuliza unafanya scrub ukamwambia hufanyi… Na hizo huduma zao nyingine (mimi sio muumini wa hizo huduma) ukazipangua zote , Sana sana ukataka...
7 Reactions
70 Replies
10K Views
Habari wanajamii. Kwa anayefahamu naomba anielekeze duka/mahali naweza kupata Neutrojena oil free moisturizer, maduka ya vipodozi mwenge nimekosa. Natanguliza shukran.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom