Kwanini harusi za siku hizi ni mwendo wa suti za bluu?

Bavaria

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
53,092
53,495
Wanaume wanavaa suti zenye rangi ya blue.

Nimeona hivi si harusi moja wala mbili. Ni nyingi sana.

Ni fasheni au nini?
 
Wanaume wanavaa suti zenye rangi ya blue.

Nimeona hivi si harusi moja wala mbili. Ni nyingi sana.

Ni fasheni au nini?
Avae nyeusi kwani anaomboleza nini? Na akivaa nyeusi sio full mybe trauza na shati nyeusi (nyeusi nzr sio dzain ya kisarakasi) koti jeupee kimodooo singoo batan taii ni hizi za kipepeo mi ndio najua hivyoo wenyewe mnjini mna jina lenu sijui bonii niniii ngoja niache nisijetukana buree...

Kama mnenee bonge anapga kitu ya bazee nyeupee kadarizi na gold kitu ya kiNaigeria full bwana harusi na patron lkn patron na mtoto wa kiume anashona simple aweki hili koti kubwaa na kofia unatokelezea balaaa kama hii niliifuma pahali.
8da734f2b54c6e088ab0c7ea2900c596.jpg
 
Back
Top Bottom