Katika pitapita yangu sijawahi kuona Mtu kanunua nguo yake ya ndani a.k.a Chupi halafu isimtoshe awe mnene au mwembamba. Hivyo basi nilitaka tu kujua ni UTAALAM gani hawa Wabunifu na Watengeneza...
Hi guys,
Kwanini wajameni imekuwa hivi, vazi la sirini kuwa hadharani kiasi hiki si za kike wala za kiume kwanini lakini. Madukani ziko hadharani, wamachinga wanatembea nazo mitaani, kwenye...
Natumai mko poa.
Jamani magagulo yamepotelea wapi .Nadhani wale wa umri wangu wanalikumbuka hili vazi la siri na la heshima sana enzi hizo.
Huwezi kumkuta mdada au mmama hajalivaa hilo...
Habari waungwana, naomba mnisaidie kama kuna mtu anayefahamu chuo chochote cha urembo hususani nywele!
NB: UKINIPA MAWASILIANO YAO ITANISAIDIA ZAIDI, KIPAUMBELE CHANGU NIPATE CHUO KUTOKA ARUSHA...
Urembo wa kweli hutegemea nini? Watu fulani husema urembo hutegemea maoni ya mtazamaji. Isitoshe, maoni ya watu wengi kuhusu urembo yametofautiana sana katika utamaduni na enzi mbalimbali...
kwa tunaoishi maeneo ya baridi (Mbeya, Arusha, Iringa, Njombe nk) scarf mbali ya kukinga na baridi pia inakuongezea swaga. hapa kuna style mbalimbali za kufunga na kuvaa scarf kutoka ties.com.
Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida...
Drop your expertise, and help another brother get his style and grace together in this fashionable world we live in.
DOs
..Vaa viatu visafi kila mara. Attention unayovipa viatu vyako inaelezea...
Msemo wa Kiswahili wa wahenga ‘ukitaka uzuri dhurika‘ unaweza kuwa na maana kubwa katika mkasa huu wa aina yake unaowapa kiashiria ‘chekundu’ warembo duniani kote wanaopenda kuvaa mawigi na kusuka...
Kuna habari kuwa baada ya zoezi la waumish hewa na baadae simu hewa, zoezi linalofuata litakuwa ni kutambua watumishi wenye vyeti feki kufuatia zoez la kupiga marufuku nywele bandia almaarufu km...
Habari za muda huu wakuu
Moja kwa moja kwenye swali linalonisumbua sana,naomba msaada kwani hizi nguo za kike na kiume siku hizi zinaletwa kutoka viwandani zikiwa zimechanika maana yake ni nini...
Haya Warembo, Walimbwende, Wanyange na Wapenda uzuri wote..... Sote tunajua umuhimu wa kucha kwa mwanamke. Hata upendeze vipi halafu vikucha vyako vimekatikakatika ovyo, vimebanduka rangi, au...
Natumai wanajamvi mu wazima,
Naona kuna mtindo umeenea sana kwa dada zetu kuvaa magauni marefu,hii ni nzuri kwani badala ya kuvaa vimini,wamejitahidi kuvaa nguo ndefu.Sasa tatizo ni huu mtindo wa...
Haya wadau.
Katika pita pita yangu mwisho wa mwaka, nikampata shemeji yenu (mchepuko) ni mzuri balaa, mtoto wa tajiri, elimu masters level.. Makazi ni kwa matajiri Capripoint Mwanza, baba...
Gazeti la Mtanzania jana limeripoti kuwa waumini wanawake wanaokwenda kufunga ndoa katika kanisa Katoliki Parokia ya Hananasif Kinondoni, jijini Dar es salaam wamepigwa marufuku kupaka rangi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.