Duka la vipodozi na urembo

Click Hapa

JF-Expert Member
Jan 27, 2013
479
206
Habari za jioni wana-Jamvi.

Wana-Jamvi, nina dada yangu yupo interested na suala zima la ujasiriamali, kaniuliza shughuli ya kufanya ambayo nikaona niwashirikishe Wanajamvi ili kwa mawazo na ushauri wenu nina uhakika wa kupata MAJIBU.

Anapenda kufanya shughuli ya kuuza VIPODOZI na UREMBO for Ladies. Kwa mawazo yake ni kwamba anataka afungue Duka na auze bidhaa hizo kwa REJAREJA.

Naombeni ushauri Wanajamvi kwa yeyote aliye mzoefu wa shughuli hii anijuze nini faida na changamoto zilizopo ktk shughuli hii. Ni mtaji kiasi gani unahitajika ili kuweza kuwa na sound return. Je, location inatakiwa iweje.

Natanguliza shukurani
 
Nina bidhaa za aloevera na asali ya nyuki wadogo kwa matumizi ya binafsi na saluni. Changamoto yake ni bei tu lakini zina faida kubwa mno. 0765608067
 
Namkaribisha aje tujumuike ktk kampuni ya FOREVER LIVING PRODUCTS!! Mtaji wakuanzia biashara ni mdogo ukilinganisha na faida/manufaa utakayo yapata. Na risk yake una share na kampuni kwahiyo naweza kusema hamna risk ktk hii biashara. Yapo mambo mengine mengi yenye faida. KURIBUNI WOTE
 
Forever living-sonya products
 

Attachments

  • 1396073989020.jpg
    1396073989020.jpg
    19.3 KB · Views: 621
Namkaribisha aje tujumuike ktk kampuni ya FOREVER LIVING PRODUCTS!! Mtaji wakuanzia biashara ni mdogo ukilinganisha na faida/manufaa utakayo yapata. Na risk yake una share na kampuni kwahiyo naweza kusema hamna risk ktk hii biashara. Yapo mambo mengine mengi yenye faida. KURIBUNI WOTE

Asante kwa hilo mkuu, sasa hizo products za FL zinapatikanaje na faida inakuwa vipi? Hebu jaribu kufunguka ktk hili, nimependa hizo products kwenye attachment.
 
Habari za jioni wana-Jamvi.

Wana-Jamvi, nina dada yangu yupo interested na suala zima la ujasiriamali, kaniuliza shughuli ya kufanya ambayo nikaona niwashirikishe Wanajamvi ili kwa mawazo na ushauri wenu nina uhakika wa kupata MAJIBU.
Anapenda kufanya shughuli ya kuuza VIPODOZI na UREMBO for Ladies. Kwa mawazo yake ni kwamba anataka afungue Duka na auze bidhaa hizo kwa REJAREJA.

Naombeni ushauri Wanajamvi kwa yeyote aliye mzoefu wa shughuli hii anijuze nini faida na changamoto zilizopo ktk shughuli hii. Ni mtaji kiasi gani unahitajika ili kuweza kuwa na sound return. Je location inatakiwa iweje.

Natanguliza shukurani
MKUU,
NAUZA DUKA LA COSMETICS LIPO TABATA KINYEREZI NJIAPANDA BARABARANI KABISA NA NITAMPA 10% DISCOUNT YA THAMANI YA MZIGO WOTE WA NDANI,NA NITAMUUZIA VITU KWA JUMLA 0674542138
 
Anaweza pia kufanya oriflame ambayo mie nafanya huku tuna uza cosmetics asilia zikiwemo bidhaa za usoni, mwilini, kichwani, makeups, perfume na n.k akiwa na 100,000 pembeni anaanza biashara, ninaposemapembeni namaanisha huenda hata asiitumie. Anajiunga na kampuni kwa 9,000 baada ya hapo ana nunua kila bidhaa moja kwa discount ya 23%.

Faida zake:
»Mtaji kidogo na hanunui bidhaa akakaanazo mkononi bali hufanya manunuzi kwa oda.
»Atapata training mbalimbali kuhusu biashara na urembo

Hayo ni baadhi tu karibuni anaweza wasiliana nami kwa maelezo zaidi 0717 343635
 
Back
Top Bottom