JAMBONIA 2
Member
- Mar 25, 2016
- 45
- 11
Habarini, wadau kama upo au unamfahamu mwalimu mzuri wa kupamba mabiharusi na kuchora zile piko nzuri za kizanzibari... nielekeze au nipe contact pm.
Natanguliza shukran
Natanguliza shukran
hapana localy tu kupata ujuzi wa kivitendo na wala si lazima kwa chetiAstashahada
Stashahada
Shahada
Ufafanuzi please
anayefundisha kuchora maua kwa kutumia piko au hina katika mikono au miguu n.kNdo mwalim wa aina gani uyo...