Dagaa ni safi, hawana mchanga na tayari kwa kupikwa au kupashwa tu na kuliwa. Wanapatikana katika ujazo wa kilo moja, nusu, na robo kilo! Pia kuna paketi za kawaida kwa bei ya jumla na rejareja...
Mimi ni mfugaji nyuki,nimekuwa nikitumia njia ya kawaida ya kukamua masega ya nyuki ili kupata asali.
Nahitaji mashine ili niweze kuwa bora zaidi kwenye utengenezaji wa asali basi kwa yule...
Wanajamii nina ndugu yangu ana mtaji wa laki tatu ila anataka aifanyie biashara yoyote ile ili mradi tu izalishe vizuri yeye 24/7 yuko free hana kazi yoyote hapa mjini (Dar es salaam) .mwenye...
Habari za muda;
Mimi ni mfugaji ninahitaji yai la mbuni na tausi lenye kiini kwa ajili ya kutotolesha.kibali chake cha kumfuga ninauwezo wakukipata.Taarifa tafadhali.
Wasiliana nami...
Wanajamii nimebahatika kupata kiasi hicho cha hela ila nashindwa kupata jibu nifanyie biashara gani hapa Dsm inayozalisha vizuri zaidi? Kwa mwenye idea naomba anijuze pls
habar wana JF. kwa mwenye uhitaji wa Sato fresh kutoka fish farming wanapatikana eneo la kidugalo ruvu. ukihitaji kuanzia kg 100 bei Ni 6500 /kg.. chini ya hapo bei Ni 7000. kuna zaid ya kg 2000...
Wakuu hbr za usiku???,naomba km kuna mtu anayejua vema bei za Madawa yafuatayo ya Nyanya kwa DSM;Farmer zeb,Glider,Chloroplus,na dawa za sumu km vile Wilcron,Mocron,n.k.Karibuni wakuu.
Nimeshangazwa sana kuona eneo la Posta Mpya kutoka Hotel ya Hall day Inn mpaka New African Hotel limegeuka eneo la biashara za kimachinga.Wakati Wa utawala Wa Awamu ya kwanza maeneo hayo yalikuwa...
Hi wakuu
Natafuta mtaalamu wa kilimo atakayekuwa na wepesi wa kufika shambani kwangu kigamboni kunitatulia tatizo katika tikiti zangu.
The sooner the better, asanteni
Jipatie external drive aina ya Western Digital (WD) kwa shilingi 170,000. Size ni 1.5 TB from europe. Zinawasili kuanzia tarehe 14 dec. Weka order yako free delivery in DSM. Wa mikoani...
Molii products inakuletea
Home made chill(pilipili) 5,000/=
Garlic paste(vitunguu swaumu) 6,000/=
peanut butter 5,000/=
zinapatikana kwa jumla na rejareja
products zetu ni nzuri ukitumia...
Habari zenu wanajamvi ?
Nimeamua kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji bahati mbaya nafugia kijijini umeme haujafika nilianza na kuku 100 tetea wakiwa zaidi ya 80 sasa nashukuru Mungu ninavifaranga...
MOYO TRADERS inayojishughulisha na usambazaji wa samaki wabichi ndani na nje ya Dar es Salaam, inasimamiwa na vijana wachapakazi na wanaojari muda wa wateja wao, inapenda kuwataarifu wateja wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.