Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Tafadhari sana wadau nawaomben msaada wenu kama nilivyoeleza hapo juu. Shida yangu kubwa ni mbegu za mbogamboga na matunda. Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
9K Views
Je Una ozoefu katika sekta ya usafirishaji na uchukuzi? Kwa mfano: Tours, Taxi, Trucks, Daladala nk. Je unaweza kufanya kazi kama afisa masoko (part time) katika sekta hiyo au kuwa mshauri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
je unahitaj samaki Sato wabichi fresh from pond. contact me 0717451771
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JENGA UCHUMI WAKO KUPITIA SIMU YAKO Jiunge na RIFARO AFRICA (RI unitel)uwe na kipato endelevu ktk uchumi wako, huduma hii ni kwa wateja wa Tigo, voda, airtel na zantel bila kuathiri shughuli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
'Biashara ni Matangazo' Tupo katika wakati ambapo bidhaa na huduma nyingi sana zinafikishwa sokoni kwa njiani ya mtandao. Wamiliki wa tovuti za matangazo wanatengeza hela ndefu kwa njia hiyo na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajf wenzangu naomba ushauri wenu muhimu ili wasijesema nimeuingia mji kwa pupa. Binafsi nimepata mkopo wa Tsh milioni 10 toka kwa mfadhili wangu. Utafiti wa haraka haraka nilioufanya nabaini...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wa ndg.naomba msaada kwa anaejua biashara hii faida na changamoto zake maana kuna eneo nimeona kuna butcher moja tu hivyo likanijia wazo hilo.Najua jf ni sehemu ambayo unaweza kufanyia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mananasi yanauzwa makubwa yanapendeza yanaanzia shilingi 2000 na kuendelea na pia unaweza kuchukua hata kwa jumla namba ya simu; 0658377013 0712660380...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwa mwenye taarifa jamani ani pm, natafuta saana hela Mimi ILA siipati na hata ikipatikana Ni hela mbuzi Tu, sasa basi kwa mwenye taarifa yoyote kuhusu upatikanaji wake kwa wingi naomba ani pm.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana Jamvi, Najua kuna post zilizopita kuhusu soka la vitunguu maji, lakini baada ya kupitia nimeona the latest ni 2014. Ninaomba kujua kama mtu yeyote anafahamu soko bora la vitunguu kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau, hivi cement za Dangote zimeshaingia kwenye soko la Dar es salaam na wapi zinapatikana?
0 Reactions
49 Replies
10K Views
Mimi ni mjasiriamali najishughulisha na,shughuli za kuuza nguo yaani nina duka la nguo naitaji mkopo wa milioni 3 ili nikuze biashara yangu. Duka langu mali niliyonayo sina nyumba wala kiwanja...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Natafuta contact za viongozi wa vyombo vya Usafiri kama vile taxi nchini Tanzania. Shukrani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza mbegu za ufuta za lindi 2002
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wana JF, naomba mnijulishe ni wapi nitapata kuku wa kienyeji aina ya kuchi maana nasikia kuwa kuku mmoja ana nyama kati ya kilo 4 mpaka 8
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Naomba kujua borrowing interest rates za CRDB, NMB na NBC kwa mwaka kwa mfanyakazi, ahsante.
0 Reactions
7 Replies
6K Views
WADAU HABARI, Nina wazo la kibiashara la kutoa huduma fulani kupitia makampuni ya simu nahitaji mbia/business partner mwenye ujuzi wa maswala ya mobile money/ telecommunication business. Nina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Fuata link hii hapa chini ili ujiunge na mtandao unaokuwezesha kutengeneza pocket money kwa kujitangaza. InternetDuty.com/?id=drgshoo
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Ndg wanajamvi nahitaji kuanzisha biashara ya uuzaji wa vocha za simu kwa bei ya jumla, Je inahitaji pesa kiasi gani ya mataji kuanzisha hiyo biashara? Naombeni mnijuze ndg Zangu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom