Upatikanaji wa dagaa wa mifugo

Upatikanaji wa dagaa wa mifugo

nahitaji wengi kama tan1 kila mwezi.wewe unauzaje ili nijue kama bajeti yangu itaweza bei yako
 
ndugu niko sehem mbaya ila nicheki hapa kesho 0652 550 240 au 0755163925 tufanye kazi!!! au weka yako nikucheki kesho
 
nafikiria dagaa wa mwanza wa mifigo haujawaelewa ni wale waliokatikakatina,vichwa na vumbi vumbi. kilo 1 kariakoo sh.2000 iweje mwanza iwe sh.5000?
 
mkuu tajiri sana nicheki kwa hizo namba hapo ....ninauza mimi 0652 550240
 
Back
Top Bottom