Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Wadau,
Nafikiria kuanzisha mradi wa kushona viatu, mikanda pamoja na wallet. Je ni mashine zipi za kuanzia ninazotakiwa kuanza nazo na gharama yake ni kiasi gani? ni aina gani ya Mashine inafaa au mambo yapi ya kuangalia kabla ya kununua mashine? Mafundi wazuri ambao wanaweza kushona vizuri ili kupanua soko zaidi.
Kwa yeyote mwenye uelewa wa huu mradi naomba mawazo yake.
Karibuni
Nafikiria kuanzisha mradi wa kushona viatu, mikanda pamoja na wallet. Je ni mashine zipi za kuanzia ninazotakiwa kuanza nazo na gharama yake ni kiasi gani? ni aina gani ya Mashine inafaa au mambo yapi ya kuangalia kabla ya kununua mashine? Mafundi wazuri ambao wanaweza kushona vizuri ili kupanua soko zaidi.
Kwa yeyote mwenye uelewa wa huu mradi naomba mawazo yake.
Karibuni