Mradi wa kushona viatu na kuuza

Mradi wa kushona viatu na kuuza

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Wadau,

Nafikiria kuanzisha mradi wa kushona viatu, mikanda pamoja na wallet. Je ni mashine zipi za kuanzia ninazotakiwa kuanza nazo na gharama yake ni kiasi gani? ni aina gani ya Mashine inafaa au mambo yapi ya kuangalia kabla ya kununua mashine? Mafundi wazuri ambao wanaweza kushona vizuri ili kupanua soko zaidi.

Kwa yeyote mwenye uelewa wa huu mradi naomba mawazo yake.

Karibuni
 
Ni wazo zuri sana. Big up.Wewe uko wapi? Arusha na moshi ndo kuna mafundi wengi wa kushona viatu..pengine ungejaribu kusafiri hadi huko na kufanya utafiti mdogo. Kuna mafundi wengi sana kule hasa arusha.

Je soko laku unategemea kuwa wapi?
 
Ni wazo zuri sana. Big up.Wewe uko wapi? Arusha na moshi ndo kuna mafundi wengi wa kushona viatu..pengine ungejaribu kusafiri hadi huko na kufanya utafiti mdogo. Kuna mafundi wengi sana kule hasa arusha.

Je soko laku unategemea kuwa wapi?
Mkuu hivi hawa wanaonunua ngozi za ng'ombe ndo huwa wanawapelekea Arusha?
 
Mkuu hivi hawa wanaonunua ngozi za ng'ombe ndo huwa wanawapelekea Arusha?
Hapana. Arusha wanatoa ngozi kenya. Ngozi za ng'ombe inabidi ziwe proccesed kwanza kabla ya kutumika.
 
Ni wazo zuri sana. Big up.Wewe uko wapi? Arusha na moshi ndo kuna mafundi wengi wa kushona viatu..pengine ungejaribu kusafiri hadi huko na kufanya utafiti mdogo. Kuna mafundi wengi sana kule hasa arusha.

Je soko laku unategemea kuwa wapi?
Nashukuru kwa ushauri wako mkuu. Mimi nipo dar na kwa kuanzia soko kuu nataka liwe dar, tanga, dodoma, morogoro na pwani na nitaendelea kupanua soko kutoka na muitikio wa watu. Unaweza kuwa na uelewa wa mtaji kiasi
unaweza tosha kwa kuanzia?
 
Hebu ingia raymu online marketing shop uone hizo mashine huko
 
Hebu ingia raymu online marketing shop uone hizo mashine huko

mashine hizo hata kariakoo zipo na bei yake ni mil 1.6 lengo la kuja hapa jukwaani ni kufahamu aina ipi ya mashine inafaa au ni vitu gani vya kuzingatia unaponunua mashine?
 
Mkuu hata mimi nilikuwa na wazo kama lako,kuna baadhi ya vifaa nilinunua na ninakautaalam na hiyo kazi, kabla sijaanza kuna ratiba fulani ikaingilia kati ni pm tuone wapi tunaweza kushorikiana....nipm no yako ,I am serious
 
Mkuu hata mimi nilikuwa na wazo kama lako,kuna baadhi ya vifaa nilinunua na ninakautaalam na hiyo kazi, kabla sijaanza kuna ratiba fulani ikaingilia kati ni pm tuone wapi tunaweza kushorikiana....nipm no yako ,I am serious

sawa mkuu, tutawasiliana.
 
Hii thread nzuri sana ila nadhani uelewa wetu mdogo ndo maana imekosa wachangiaji wengi na wenye maarifa mahususi.
Nataka kuamini hatuko vzr kabisa ktk kufikiria na kuanzisha viwanda vidogo ndio maana ktk thread nyingi tunafikiria kulima na kufuga alaf tunauza bila kuziongezea thamani zaidi na matokeo yake tunajikuta soko limejaa vitu hivyo hivyo na bei chini hence majanga!
Inatubidi tubadilike vinginevyo viwanda vyote tz vitakua vya wahindi na waarabu.

Nilishawai kufikiria hii biashara japo sikufuatilia kwa undani zaidi, ila naamini unatakiwa uwe na
1. Mashine ya kushona ngozi yenye shingo ndefu bei ina anzia $100 na kuendelea bila usafiri na kodi.
2. Mkasi (sina hakika kama upo unaotumia umeme)
3. zile toy zenye shape ya mguu size tofauti tofauti
4. mashine ya kugongea lebo kwenye ngoz na kuweka urembo
5 etc
 
Hii thread nzuri sana ila nadhani uelewa wetu mdogo ndo maana imekosa wachangiaji wengi na wenye maarifa mahususi.
Nataka kuamini hatuko vzr kabisa ktk kufikiria na kuanzisha viwanda vidogo ndio maana ktk thread nyingi tunafikiria kulima na kufuga alaf tunauza bila kuziongezea thamani zaidi na matokeo yake tunajikuta soko limejaa vitu hivyo hivyo na bei chini hence majanga!
Inatubidi tubadilike vinginevyo viwanda vyote tz vitakua vya wahindi na waarabu.

Nilishawai kufikiria hii biashara japo sikufuatilia kwa undani zaidi, ila naamini unatakiwa uwe na
1. Mashine ya kushona ngozi yenye shingo ndefu bei ina anzia $100 na kuendelea bila usafiri na kodi.
2. Mkasi (sina hakika kama upo unaotumia umeme)
3. zile toy zenye shape ya mguu size tofauti tofauti
4. mashine ya kugongea lebo kwenye ngoz na kuweka urembo
5 etc
Asante kwa mchango wako mkuu. Upo sahihi kabisa, ningeuliza kuhusu kufanya biashara ya uchuuzi kama kuchukua nguo China wachangiaji wengi wangekuja. Hii ni changamoto kwetu watanzania tujitahiji kubadilika, tuige wachina, producers ni wengi kuliko consumers

Una mtu hata mmoja unayemfahamu ambaye anafanya hii biashara kwakuwa kabla sijaanza nahitaji kutembelea watu wanaofanya biashara hii ili nijifunze meng kutoka kwao.
 
Asante kwa mchango wako mkuu. Upo sahihi kabisa, ningeuliza kuhusu kufanya biashara ya uchuuzi kama kuchukua nguo China wachangiaji wengi wangekuja. Hii ni changamoto kwetu watanzania tujitahiji kubadilika, tuige wachina, producers ni wengi kuliko consumers

Una mtu hata mmoja unayemfahamu ambaye anafanya hii biashara kwakuwa kabla sijaanza nahitaji kutembelea watu wanaofanya biashara hii ili nijifunze meng kutoka kwao.

Bahati mbaya simfaham mtu yeyote anaejishughulisha na hii kitu lkn nakushauri nenda veta mtafute mwalimu anaehusika na somo hill naamini atakuelekeza nini cha kufanya, nikifanikiwa kupitia huko ntaweka taarifa hapa.
 
Wazo zuri sana....ila jitahidi kufanyia packing yako hiwe nzuri kuongeza thamani..watanzania wanawaza ngono tu mda wote...chungulia kwenye sim zao utaona mambo ya ajabu sana..
 
Bahati mbaya simfaham mtu yeyote anaejishughulisha na hii kitu lkn nakushauri nenda veta mtafute mwalimu anaehusika na somo hill naamini atakuelekeza nini cha kufanya, nikifanikiwa kupitia huko ntaweka taarifa hapa.
Yaani ulipozungumzia swala la veta umenipa wazo kubwa sana, maswali yangu yote nadhani hawa jamaa watanijibu kama watatoa ushirikiano wa kutosha
 
Nenda Kwa fundi anayeshona kabisa omba kazi ya kujitolea bila malipo jifunze utaondoka na ujuzi wako mzuri au mlipe akupe uzoefu, practical ina faida sana, Mimi namjua mmoja Mwanza anaingiza pesa sana.
 
Nenda Kwa fundi anayeshona kabisa omba kazi ya kujitolea bila malipo jifunze utaondoka na ujuzi wako mzuri au mlipe akupe uzoefu, practical ina faida sana, Mimi namjua mmoja Mwanza anaingiza pesa sana.
Asante mkuu, lakini kwasasa nina kazi ambazo zinanibana kiasi kwamba siwezi kwenda kufanya hiyo kazi. Option ni mbili, either nimtafute kijana aende akaibe huo ujuzi yani aende kutafuta ajira hiyo ofisi kisha atakuwa akilipwa na hiyo ofisi namimi nitakuwa nikimlipa akikosa ajira itabidi aende kama volunteer kisha mimi nitakuwa nikimlipa baada ya muda nitamuaachisha kazi huko namimi nitafungua kampuni yangu ''knowledge stealing'' au nimtafute mtu anipe ujuzi na nitamlipa kiasi cha fedha
 
Asante mkuu, lakini kwasasa nina kazi ambazo zinanibana kiasi kwamba siwezi kwenda kufanya hiyo kazi. Option ni mbili, either nimtafute kijana aende akaibe huo ujuzi yani aende kutafuta ajira hiyo ofisi kisha atakuwa akilipwa na hiyo ofisi namimi nitakuwa nikimlipa akikosa ajira itabidi aende kama volunteer kisha mimi nitakuwa nikimlipa baada ya muda nitamuaachisha kazi huko namimi nitafungua kampuni yangu ''knowledge stealing'' au nimtafute mtu anipe ujuzi na nitamlipa kiasi cha fedha

Fanya hivyo utafanikiwa na vizuri zaidi ukajua wewe.
 
nicheck kwa number hii +258866131115 whatsapp njoo mozambique tupige kazi.
 
Nenda Kwa fundi anayeshona kabisa omba kazi ya kujitolea bila malipo jifunze utaondoka na ujuzi wako mzuri au mlipe akupe uzoefu, practical ina faida sana, Mimi namjua mmoja Mwanza anaingiza pesa sana.
yupi huyo?
Aliyeko magomeni kirumba?:becky::becky::becky:
 
Back
Top Bottom