Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Wadau ninataka kufuga ng'ombe wa maziwa ila sijajua wanapatikana wapi kwa hapa Dar au Pwani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mfanya biashara wa nafaka ninasaga na kupaki unga ninawaza kuhamishia mashine zangu dar kutokana ma fulsa ambazo nahisi kuzipata nikiwa uko kama vile masoko n.k. Naombeni ushauri kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani kila ninapofikiria nianzishe mradi, juhudi zinakwama hasa katika kubuni huo mradi. Big up sana kwa walioweza huu mtihani. Naombeni na mimi mnipe techniquesm
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Anaye fahama k?wanda hi cho naweza Pata vifaa Vya wiring ya nyumba ?.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jndje jkdkdj diosokjdnjkjcnjeuei
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Anayetaka shamba kwa ajili ya kilimo/ufugaji morogoro tiwasiliabe
0 Reactions
21 Replies
3K Views
  • Redirect
Contact me +255654919121 Tunachora ramani za kisasa kwa bei nafuu..Tunatembelea Site kwako napia kama una vipimo pia haina shida. For serious Clients Plz inbox or call or put your number.
0 Reactions
Replies
Views
Eneo la Posta Mpya ni kioo cha Jiji letu la Dar es salaam.Eneo hilo limegeuzwa eneo la biashara za Kijasilimali za kuuza Chapati maandazi supu mahindi ya kuchoma mitumba n.k.Nilitegemea wakati Wa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nauza Printer unayoeza kuprint A3 na A4 iko vizuri sana kwa matumizi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau naweza kupata wapi mbegu za nyanya za hybrid F1 kwa Daressalaam. Au kwa yeyote anajua maduka ambayo naweza kupata mbegu izo aniambie
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Naomba mnijuze jinsi ya kuzuia magonjwa ya vifaranga wa kuku wa kienyeji maana kila nikifuga vifaranga wanapata vidonda kuzunguka macho na vinakufa
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Wana janvi kichwa cha habari kinajieleza naombeni ushauri nina pesa hiyo,nipo kijijini nifanye biashara gani jamani, ninakuku hamsini sasa nilikuwa nataka ninunue incubator ili niee nanunua mayai...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau napenda kuwashilikisha katika uwekezaji wa miti na kujipatia utajiri Baada ya muda mfupi....miti inapatikana Kuanzia hekari 1 hadi 300 .nk..miti hiyo ni kama vile..... (a ) miti iliyo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari!!! Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mwaka wa kwanza. Niko katika hatua za usajili lakini nimepungukiwa laki 4 kukamilisha usajili. Mkopo kutoka bodi (HESLB) nimepata, ila...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa anayeuza mbwa wa kisasa kama vile german au british shelphered, flat coated retrive, rottweiller, bull dog anisaidie.
0 Reactions
17 Replies
12K Views
  • Redirect
Wewe ni mjasiriamali na unapenda maendeleo? Basi nakukaribisha katika mkutano huu ili uweze kuzifahamu mbinu na fursa sahihi za kukitimizia ndoto zako. Badili fikra, timiza ndoto yako, nelly...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Natumaini mpo wazima wa afya njema ndugu zangu, na poleni kwa majukumu ya kujenga taifa letu. Mimi ni kijana wa miaka kati ya23na26 nina elimu ya form six(6) ila kutokana na matatizo kidogo katika...
0 Reactions
Replies
Views
Mambo? Naombeni msaada wenu kama kuna mtu yoyote mwenye experience juu ya usafirishaji wa matunda nje ya nchi na vibali vyake..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Redirect
Natafta mlonge kg kuanzia 50 na kg moja ni sh.5000 naitaji mbegu nyeusi kabsa ,hasiwepo mbegunyeupe na ziwe zimesafishawa hakuna uchafu nanunua kg zozote ulizonazo kwa cash, kuanzia kg 250 ni...
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu wadau, kwa yeyote anayehitaji kufanya biashara ya kuuza gesi za kupikia pamoja na vifaa vyake tuwasiliane. Nimekuwa nikifanya hii biashara kwa kipindi cha miaka mitano sasa nikimiliki...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom