Mimi ni mfanya biashara wa nafaka ninasaga na kupaki unga ninawaza kuhamishia mashine zangu dar kutokana ma fulsa ambazo nahisi kuzipata nikiwa uko kama vile masoko n.k. Naombeni ushauri kwa...
Jamani kila ninapofikiria nianzishe mradi, juhudi zinakwama hasa katika kubuni huo mradi. Big up sana kwa walioweza huu mtihani.
Naombeni na mimi mnipe techniquesm
Contact me +255654919121
Tunachora ramani za kisasa kwa bei nafuu..Tunatembelea Site kwako napia kama una vipimo pia haina shida.
For serious Clients Plz inbox or call or put your number.
Eneo la Posta Mpya ni kioo cha Jiji letu la Dar es salaam.Eneo hilo limegeuzwa eneo la biashara za Kijasilimali za kuuza Chapati maandazi supu mahindi ya kuchoma mitumba n.k.Nilitegemea wakati Wa...
Wana janvi kichwa cha habari kinajieleza naombeni ushauri nina pesa hiyo,nipo kijijini nifanye biashara gani jamani, ninakuku hamsini sasa nilikuwa nataka ninunue incubator ili niee nanunua mayai...
Wadau napenda kuwashilikisha katika uwekezaji wa miti na kujipatia utajiri Baada ya muda mfupi....miti inapatikana Kuanzia hekari 1 hadi 300 .nk..miti hiyo ni kama vile.....
(a ) miti iliyo...
Habari!!!
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mwaka wa kwanza. Niko katika hatua za usajili lakini nimepungukiwa laki 4 kukamilisha usajili. Mkopo kutoka bodi (HESLB) nimepata, ila...
Wewe ni mjasiriamali na unapenda maendeleo? Basi nakukaribisha katika mkutano huu ili uweze kuzifahamu mbinu na fursa sahihi za kukitimizia ndoto zako.
Badili fikra, timiza ndoto yako,
nelly...
Natumaini mpo wazima wa afya njema ndugu zangu, na poleni kwa majukumu ya kujenga taifa letu. Mimi ni kijana wa miaka kati ya23na26 nina elimu ya form six(6) ila kutokana na matatizo kidogo katika...
Natafta mlonge kg kuanzia 50 na kg moja ni sh.5000
naitaji mbegu nyeusi kabsa ,hasiwepo mbegunyeupe na ziwe zimesafishawa hakuna uchafu
nanunua kg zozote ulizonazo kwa cash,
kuanzia kg 250 ni...
Ndugu wadau, kwa yeyote anayehitaji kufanya biashara ya kuuza gesi za kupikia pamoja na vifaa vyake tuwasiliane.
Nimekuwa nikifanya hii biashara kwa kipindi cha miaka mitano sasa nikimiliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.