Ndugu wadau, kwa yeyote anayehitaji kufanya biashara ya kuuza gesi za kupikia pamoja na vifaa vyake tuwasiliane.
Nimekuwa nikifanya hii biashara kwa kipindi cha miaka mitano sasa nikimiliki...
Samahani sana ndugu zangu nataka kufungua kampuni ya Fumigation now nipo katika masuala ya usajili, nataka kujua ni mikoa ipi nitapata zaidi soko na changamoto zake.
Wakubwa shikamoni, wenzangu na Mimi habari zenu
Mm ni kijana bado cjaoa, nahitaji kufikia malengo yangu ya kumiliki nyumba mjin kabla ya kuoa,
Nina mtaji wa Tsh 1,000,000/= nahitaji mnipe...
Edmark tz(approved by TFDA)
Splina Liquid Chlorophyll - possesses 3 main
functions; cleansing, balancing, and nourishing.
These enable us to have a stronger body and
better health.
1. Cleansing -...
Kulingana na kichwa hapo juu nahitaji kufanya biashara ya stationary mkoan nimeshalipa pango. shida yangu ni mashine y kopy and printing kwa mtaji huo mashine zle kubwa haitoshi .ktk pitapita...
USIKUBALI KITU HIKI HATA SIKU MOJA
Hakuna mtu ambaye anaamka asubuhi na mara moja tu akawa na mawazo ya kukata tamaa, na kuona mbele hakuwezekani tena.
Hiki sio kitu kinachokuja...
Yaani tangu nimekuja huku umeme ni shida. Jana umekatika saa kumi na mbili alfajiri n umerudi saa saba kasoro usiku na sasa ninavyoandika umekatika saa kumi na mbili asubuhi hii. Nilitegemea...
Ndg, Tunatarajia kuwa na event ya kitaifa mwezi wa pili 2016. Tunaomba mtu mwenye uwezo wa kutengeneza wimbo maalum kwa event hiyo.
Nitafute
0752 698 691
Habari zenu wana jf, mimi naishi dar nataka kufanya biashara ya kuuza simu kariakoo naomba mwenye uzoefu anijuze faida na hasara ya biashara hii na nnaweza anza na mtaji wa shingapi!
Wadau wa biashara hii, naomba ushauri wenu wa wapi ni rahisi kununua bidhaa tajwa kwa jumla kati ya mbeya na Dar kwa mimi niliyeko songea hasa kwa kuzingatia upatikanaji wa bidhaa,bei nk. Asanteni.
For anyone who want to be V-pesa agency and make more money every single day, Please call now on 0718371221 / 0764705712 Paul Alex au 0684666945 Edwin chapa or email paulchapa0744@yahoo.com for...
Kwa wale wote wanaotaka kujipatia line za Helotel pesa (V-pesa) na kujiongezea kipato zaidi, tafadhali piga simu namba 0718371221 / 0764705712 Paul Alex. au 0684666945 Edwin chapa) au email...
Habari wadau!Poleni kwa mihangaiko ya siku nzima.
Naomba niende mojakwamoja kwenye mada. Nina shamba ekari 3 ambazo niliamua mwaka huu nilime matikitimaji.
Niliweka mifumo karibia yote (kwa...
Leo nimeota ndoto ambayo naiona siyo ya kawaida ndio maana nimeleta hapa mnisaidie.
Ni hivi nina marafiki zangu wawili ambao wamefungua biashara lakini mmoja ndiye mwenye mtaji mkubwa na yule...
Naombeni wenye uzoefu na usimamizi wa salon ya kiume waniambie namna sahii bila kuwa na usumbufu. Je natakiwa kuwalipa kwa mwezi wafanyakazi au wao wanilipe kwa siku na wajilipe wenyewe??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.