Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Awali ya yote kabla ya serikali kusitsha upigaji chapa kwa Mifugo Halmshauri ya mvomero ilishafanya zoezi hilo kwa asilimia fulani na walikusanya fedha za kutosha na walidai ni gharama za...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamvi poleni na harakati za kujikwamua na mbinyo wa maisha. Nawasilisha kwenu yeyote au kama una kijana aliye serious na kilimo na Ufugaji basi ani PM. Eneo la shughuli hii ni Mkuranga miundo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza tilapia fresh kutoka mwanza kwa order, per week naweza supply 150 kg, na dagaa wasafi kutoka mwanza, samaki waliokaushwa kwa chumvi au moshi kwenda mikoani
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye utaalam au uzoefu na hiki kilimo naomba msaada.. Ili kujua namna ya kulima, soko na faida zake. Nina heka moja nataka kupanda tu miti ya maparachichi kwa kisasa..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari Kwa wajasiriamali wenzangu walioko Dar na maeneo jirani, karibuni kujifunza Biashara, Kilimo na Ufugaji kupitia group letu la Whatsapp.Kuna kuhusu upatikanani wa Mashamba na Msimu upi haswa...
0 Reactions
0 Replies
877 Views
mwenye idea/ wazo/ uzoefu na mabanda ya kuku.... Nataka kujenga banda la kuku 100 ila sina idea kabisaa... Plz guys help me on
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Jamani nina ndugu yangu ana magunia mengi ya vitunguu almost 300 ametunza store. Tunaomba anayejua soko zuri la vitunguu nje ya nchi mfano commoro na kwa ndani kama Zanzibar...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
naomba kuuliza taratibu za chanjo kwa kuku wa kienyeji,nafahamu kuna newcastle gumboro na antibiotics zingine ammprollium,otc 20,vitalyte,esb lakini mpangilio wa hizi chanjo mbili siuelewi nawapa...
1 Reactions
0 Replies
841 Views
Habari, Nina shamba nimelima vitunguu specific kwa kuuza majani yake. Tafadhali naomba msaada wa soko lake la uhakika. Kwa sasa iliyo tayari ni nusu Heka... Shamba lipo Rudewa-Kilosa. Mwenye...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza naomba kujua bei ya mbolea kwa jumla Dar UREA na SA 50kgs.
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Natumai mmeamka salama. Naomba msaada tafadhali, Kama kuna mtu anayefaham kikundi/vikundi vya wakulima wa Vanilla (associantions/AMCOS) katika mikoa ya Morogoro wilaya yoyote, Mkoa wa Mbeya na...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninauza kuku Broiler, uzito kg 1.4, bei 5,500 Wapo 500, wanapatikana Dar es salam, Boko magengeni Simu 0656646495 Karibuni
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Naombeni mbinu za ukulima wa Mtama unaofaa kutengeneza via Je upatikanaji wa Mbegu upo vipi Maana hata aina siifahamu nia aina gani ya mtama inayofaa kulimwa ktk mkoa wa pwani Na je mtama...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Msaada jamani mwenye uzoefu na biashara za matango. Nina heka 1 ya tango inaanza kuvunwa mwezi wa 5 mwishoni. Mwenye kuhitaji au mwenye kufahamu wanunuzi tuwasiliane 0652 228 888.
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Jamani wadau naomba mwenye experience kuhusu udobi anijuze bei za laundry machine na bei za kufua nguo aina tofauti. Ikiwezekana anipe ujuzi wa uendeshaji wa biashara hiyo. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ninampango wa kuanzisha 'Project ya ufugaji wa samaki' kwa malengo yafuatayo; 1. Kupambana na uvuvi haramu unaoendelea katika mito na maziwa nchini Tanzania. 2. kuondokana na dhana ya vijana...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wakuu. Kuna kitabu cha muongozo ambao kimeandikwa na shirika la USA la Heifer nami nilifanya kwa vitendo maarifa haya na kuweza kupata matokeo tajwa kwenye kichwa cha habari. Ndani ya...
3 Reactions
7 Replies
5K Views
Habarini za Mchana wana jamvi, samahani Nina maswala kadhaaa ningependa kuuliza na kupata ufafanuzi. 1. Ninawezaje kulifanyia survey shamba langu la miti ili nipate hati?? 2. Ninaweza kupata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom